Wabunge Kesho Kumpongeza Sitta

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,725
Spika Wa Bunge Mama Anna Makinda akihitimisha kikao cha leo cha Bunge ametangaza kuwa kesho 21.06.2013 baada ya kipindi cha maswali na majibu Bunge litaangusha sherehe kubwa sana ya kumpongeza Mh. Sitta kwa kuliongoza Bunge la 9 kwa ufanisi mkubwa!

Wanajamvi;
Kweli tangazo hilo limeniacha mdomo wazi. Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi zetu kweli?...kufanya starehe na Tafrija za Unafiki?

Kama Spika Sita alifanya kazi inayostahili kupongezwa, mbona aliondolewa kwa mizengwe, aibu na kejeli vile?
Nisaidieni.
 
Ni kudivert attention na mambo ya Arusha i wish Chadema wangetangaza maandamano nchi nzima kupiga kauli ya Pinda ya kupiga na kuua wananchi kuanzia kesho
 
ccm wanapongezana kwa ujinga wao. ccm kweli hoi kiakili na mawazo.!!
 
ningekuwa mimi sita ningegoma
Tatizo la Sitta hana msimamo kabisa, anachojali ni kupoozwa na madaraka.
Hawezi kugomea sherehe hiyo maana tayari ana malengo ya 2015, na anategemea Wabunge na Mawaziri haohao kumvusha ng'ambo ya pili.
Japokuwa hiyo ni kunga'ata na kupuliza, kwasasa anaona sawa tu, na anakwenda kama vile kondoo anayepelekwa machinjioni..
 
Wanasheherekea ushindi wa kata 22 jumlisha kafara raia wa SOWETO,jina hili halipiti bure,freedom is coming TOMORROM!
 
Ni kudivert attention na mambo ya Arusha i wish Chadema wangetangaza maandamano nchi nzima kupiga kauli ya Pinda ya kupiga na kuua wananchi kuanzia kesho
Spare mr MKPP from crying in the Public.
Nadhani tukiufanyia kazi ushauri wako nadhani huyo jamaa anaweza akapata heart attack!
 
Spika Wa Bunge Mama Anna Makinda akihitimisha kikao cha leo cha Bunge ametangaza kuwa kesho 21.06.2013 baada ya kipindi cha maswali na majibu Bunge litaangusha sherehe kubwa sana ya kumpongeza Mh. Sitta kwa kuliongoza Bunge la 9 kwa ufanisi mkubwa!

Wanajamvi;
Kweli tangazo hilo limeniacha mdomo wazi. Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi zetu kweli?...kufanya starehe na Tafrija za Unafiki?

Kama Spika Sita alifanya kazi inayostahili kupongezwa, mbona aliondolewa kwa mizengwe, aibu na kejeli vile?
Nisaidieni.

Ndio agenda setting hiyo!
 
Back
Top Bottom