Nimeshangaa sana kuona wabunge wa CCM kumchoka mapema katibu wao Mukama, wanamwambia awe makini kusuluisha migogoro kabla haijawa mikubwa vinginevyo atakuwa ni kiongozi wa kutatua migogoro, ukiwemo ule wa Chatanda
Naye akajibu kwa kujitutumua kwamba tatizo ni baadhi ya wanachama wanaojifanya wako zaidi ya chama ,"nasema tutawafukuza wote" Swali je anao ubavu wa kuwafukuza ? tunaweza jadili zaidi walitumia kigezo gani kumpata mpaka wanamchoka mapema hivi
Source : Tanzania Daima ya Juni 12, 2011
Naye akajibu kwa kujitutumua kwamba tatizo ni baadhi ya wanachama wanaojifanya wako zaidi ya chama ,"nasema tutawafukuza wote" Swali je anao ubavu wa kuwafukuza ? tunaweza jadili zaidi walitumia kigezo gani kumpata mpaka wanamchoka mapema hivi
Source : Tanzania Daima ya Juni 12, 2011