Wabunge aina ya Aden Rage hawatatufikisha popote kimaendeleo

We Hofstede umetuchambua sana watu wa tbr, mengi ni ya ukweli ila hilo la mlo mmoja na barabara haujatutendea haki. Kama umekwenda Tbr. hivi karibuni utakubaliana na mimi kwa upande wa barabara hasa za ndani tunafanya vizuri sana. Nadhani baada ya Dsm sisi ndio tunafuatia kwa urefu wabarabara za lami zinazo zunguka mjini, tatizo letu ni barabara za kutuunganisha na mikoa na mwaka huu tumepigana sana tumewekewa fedha angalau za kuunganisha na manyoni.
 
Rage ni Msomali wa somalia. Kwanza swala la wasomali ni kitu kimoja cha hatari sana kwa watanzania. Sio kama nasema
kiubaguz,i Kwanza angalia somalia yenewe aina serikali sababu ya ukabila, na popote pale watakapo ishi katika dunia hii
mfumo ni huohuo. wakati wewe mtanzania uwezi ukapata fursa kama hiyo Somalia. Swala la ubunge na vyeo vya juu
linatakiwa kuangaliwa upya.
 
Rage ni msomali wa Somalia Kwa Baba na Mama. Hao wasomali wenye elimu kidogo ingekuwa jambo zuri warudi Somalia wakaongoze
nchi yao. Kwa nchi za watu wengine ni waharibifu, Hayati Balozi Diria ni msomali wa Unguja lakini mwanae wa kike ameenda kujiunga na
serikali ya mpito wa somalia. Kwa nini Rage asifanye hivyo au bashe asifanye hivyo. Sio kama nawasema vibaya au kuwabagua lakini
matatizo waliyokuwa nayo wasomali la ukabila ni jambo moja zito na gumu sana, popote watakapoishi katika dunia ukabila ndio unaota-
wala. Mimi naonelea sisi watanzania tunatakiwa kuangalia upya swala la ugombea ubunge, Uraisi pamoja na vyeo vingine vya juu viusishwe
sana na wazalendo.
 
Nlikuwa tabora kama wiki tatu zilizopita watu wamechoka balaa ukiona mkoa hauna upinzani asilimia kubwa ya watu wake ni waoga shuleless hata maendeleo ni ya kuungaunga.
 
Nimebain waheshimiwa wengi hawajiamin wanapochangia mijadala.........wanatetemekaaaa
utadhan wanapoteza bikra
 
mahakama kuu ilimsafisha baadaye

Ni kweli, wakati huo ilikuwa tayari chini ya Jk ambaye kabla ya kusafishwa na high Court alikuwa ametolewa kifungoni kwa msamaha wa JK. Ni mtu wa JK siku nyingi tu (JK ana marafiki wa kiajabu ajabu sana!) na ndo maana serikali haikutaka kukata rufaa dhidi yake ktkt mahakama ya rufaa kuhofia angeongezewa zile mvua tatu aliyopata!

Anajikomba sana kwa CCM, tena sana -- nawasikitikia watu wa TBR kumchagua huyu - hakuna atakalofanya isipokuwa kuendeleza miradi yake binafsi.

Siku ile ya hukumu ya kesi yake alitinga mahakamani na Tshirt iliyoandikwa "CCM NO 1". Siku ya pili yake katuni ya gazeti moja ilimtoa Rage akipigiliwa nyundo kichwani huku yeye akilia na kuonyesha kwa kidole maandishi ya TShirt yake!
 
Tatiza sio uraia tatizo ni anafanyia nini madaraka aliyopewa kwa faida ya waliomchagua. Tatizo Ni Uzalendo

Yule mama claire short wa UK aliyepinga Tanzania kuuizwa raia sio raia wa Tanzania . Chenge n i raia tena mzawa lakini nani mwenye faida kwa Tanzania na watanzania.

Kuna watu ni raiahalali laikini si wazelendo na kuna ambao si wazawa lakini ni wazalendo.

Viongozi wengi pamoja na uraia na uzawa wao sio wazalendo. wich diqsqualify them to lead.

Huyo mama Claire Short namwaminia, alifikia uamuzi wa kujiuzulu baada ya kuona nchi changa kama Tanzania imetapeliwa kiasi kile!
 
CCM wanafurahi sana kuwa na watu kama akina rage,kigwangala n.k ambao mambo yao yana matatizo.Hawawezi kuwa wapinzani kwa sababu wanaohofia kutibuliwa mambo yao.Ni hatari sana kwa taifa letu.
 
Wanatabora mbadilike achane na RAGE hamtakuja kupata maendeleo miaka yote mkiwa waswahili na kuipenda CCM
 
Mkoa wa tabora ulikuwa wa maana wkt wa mkoloni,ilikua kitovu cha biashara. CCM ilifanya kazi ya ziada kuumaliza sehemu ile kabisa!Tabora kuendelea kuikumbatia ccm ni upungufu wa elimu,uelewa wa wananchi wa tabora.mkoa hauna hata lami kilometa 1
 
Sikieni alichokisema jana; kuwa anawashukuru sana watu wa manicipal ya Tabora kwa kumchagua kuwa mbunge... nafasi ambayo amekuwa akitafuta kwa muda mrefu...Kwamba Tabora hawadanganyiki kwa kuwa hakuna jimbo hata moja lilochukuliwa na upinzani. Kauli ya Rage kwamba amekuwa akitafuta ubunge kwa muda mrefu inaonyesha kuwa lengo ni personal zaidi ya jamii iliyomchahua... amethibitisha tu kuwa alitaka kuwa mbungeSwala la kusema Tabora hawandanyiki ni dharau kwa watanzania. Nimuulize Rage vipi kuhusu ahadi mbalimbali ambazo zinatolewa na CCM zingine over 20 yrs old mpaka leo hazijatekelezwa je si kuwadanganya wananchi? Vp swala la umeme? Ubora wa elimu? Matatizo ya malipo ya walimu ni ahadi ya mwaka gani? Maisha bora six years later social services zinakuwa worse je si kuwadanya wananchi?Nimalize kwa kusema kama ni track record ya kudanganya basi CCM itakuwa inaongoza... after all upinzani haujawi kushika madaraka.Wabunge wasifanye bunge kuwa kijiwe cha majigambo juu ya vyama vyao na nani ni nani kamwe hawatasaidia kuleta maendeleo nchini TZ.
rage is just refrecting tabia ya wana tabora, kama ambavyo zabein mhita anareflect tabia ya wanakondoa na chenge anavyoreflect wana bariadi
 
Wapo wengi wameingia bungeni kwa mgongo wa chama cha MAGAMBA ambao kwa hakika ni mzigo mkubwa.Yupo Juma Nkamia, Komba,Majimarefu,Koka na wengine wengi ambao kimsingi hata iwe vipi hawawezi kujenga hoja za kuwaletea maendeleo wananchi wao tofauti na ahadi zilezile za miaka 47.Yaani mwaka unaokuja tusipoangali tutaingiza bungeni hadi kina Gerad Hando, Kibonde na Shigongo kupitia chama chama cha MAGAMBA.Solution ni CHADEMA, kama huamini angalia mjadala wa bunge utagundua tofauti kubwa kati ya wabunge wa CHADEMA na MAGAMBA.

Mbona CDM ndo kuna mazzuzuuu meeengii yamekaka kaka tu bungeni.. nyie mwaona mabaaya ya CCM tu.
 
We Hofstede umetuchambua sana watu wa tbr, mengi ni ya ukweli ila hilo la mlo mmoja na barabara haujatutendea haki. Kama umekwenda Tbr. hivi karibuni utakubaliana na mimi kwa upande wa barabara hasa za ndani tunafanya vizuri sana. Nadhani baada ya Dsm sisi ndio tunafuatia kwa urefu wabarabara za lami zinazo zunguka mjini, tatizo letu ni barabara za kutuunganisha na mikoa na mwaka huu tumepigana sana tumewekewa fedha angalau za kuunganisha na manyoni.

Mkuu Eschelichia Coliform aka EColi, hebu nifafanulie vizuri maana mimi kila nikikutana na watu wa Tabora wananiambia hali ni mbaya zaidi, Barabara iliyowekewa lami ambayo na watu wasio wataalam wasiojua hata CBR ni nini ile ya kutokea uwanja wa vita kupitia Tox?, imetengezwa kama mkate wa boflo hakuna cumber wala geometry ndiyo unayojivunia?, Hebu twenda mitaa ya Isevya, Ng'ambo, Gongoni, Kanyeye, Chemchem, National housing, Kilimatinde, feeder roads zote zilikuwa ni rami tupu, Njoo mitaa ya Tabora school mpaka Ulaya road kote huko kulikuwa ni rami tupu leo hii naambiwa zimejaa mchanga ulioachwa na maji ya mvua yasiyokuwa na mifereji. Miaka hiyo ya 70 huenda ulikuwa hujazaliwa umekuta zimeisha haribika na baada ya wasanii kupewa tenda za barabara zinazoanzia Pale Bomani kushuka uwanja wa vita, kushuka central police na Kitete Road ambazo nafikiri hizi zitakuwa ndiyo zimetengenezwa kama mkate wa bofla na kina Kaserkandis ndiyo unazojivunia wewe?. Katika mikoa ambayo huwezi kunidanganya ni Dar, Tabora, Arusha, Tanga na Morogoro, Hii ni mikoa ambayo nimepitia katika kutafuta ugali wangu wa kila siku. Nina watu ambao hata sasa hivi nikiinua simu wananipatia tathmini yote ukiacha ile ya kutumia technolojia ya Google earth. Hebu pitia hii link halafua uangalie Tabora ilivyobakia vumbi Tabora, Tanzania - Google Maps
 
mkoa hauna hata lami kilometa 1
Mkuu kama mnataka kupiga siasa endeleeni lakini kusema tbr hakuna hata KM 1 ya lami ni uwongo mkubwa,manispaa yote barabara zake ni lami,kuanzia ipuli hadi Malolo, kutoka airport hadi mjini, kutoka mjini hadi luwanzari, mnyonge mnyongeni lami yake mpeni.
 
msomali huyo kakimbia kwao nchi haitawaliki wala kukalika kwa sababu ya mambo kama hayo anayosema angetoa kauli hii kule somalia alishababu wangemnyonga mchana kweupeeeeeeeeeeee. na hiyo simba sijui itafika wapi
 
Back
Top Bottom