SAM wa KILUNGU
Member
- Jan 22, 2011
- 52
- 13
poleni watu wa Tabora mjini kwa kumchagua RAGE,ambaye ni MWIZI WA PESA za TFF alihukumiwa kwa wizi na akafungwa kutokana na Kosa la WIZI
wizi ni tabia ambayo ni vigumu kuiacha,sijui watu wa tabora walimuamini vipi kua ameaacha WIZI kama ambvyo mahakama zetu za Tanzania zilithibitisha?
Nadhani hakuna mbuge yeyote mle mjengoni kwa sasa ambae Mahakama ilisha wahi kuthibitisha na kumhukumu kwa kosa la WIZI zaidi ya RAGE,historia imeandikwa kwa ujinga huu wa watu wa Tabora Mjini.
wizi ni tabia ambayo ni vigumu kuiacha,sijui watu wa tabora walimuamini vipi kua ameaacha WIZI kama ambvyo mahakama zetu za Tanzania zilithibitisha?
Nadhani hakuna mbuge yeyote mle mjengoni kwa sasa ambae Mahakama ilisha wahi kuthibitisha na kumhukumu kwa kosa la WIZI zaidi ya RAGE,historia imeandikwa kwa ujinga huu wa watu wa Tabora Mjini.