Wabongo sie ni NOMA!

Ebana eeeh nimecheka vibaya sana. Duuuuh kulaleki walahi.....

Loh! Jumapili naona nimeinza vizuri leo....yaaani bado nacheka......
 
Naupongeza umakini wa mwenye duka. Kwa kweli kwa ufungaji huo wa box, si rahisi mtu kudhania kwamba kwenye box kuna binadamu. Safi sana mwenye duka. Hizi ndiyo ajira ambazo JK anajigamba kwamba ameziongeza.
 
Kwa kewli inatakiwa vijana hao wapewe mafunzo na kisha waajiriwe katika jeshi la polisi - watasaidia kugundua mbinu mpya za majambazi
 
Back
Top Bottom