Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

..mbona Ethiopia wana hali nzuri kuliko Eritrea wenye bandari?

..mbona sasa hivi Rwanda wanapiga hatua kuliko Tanzania pamoja na kwamba tuna bandari??

..LET ZANZIBAR GO!!
 
Sasa mimi sijaelewa kitu hapa, NI SULTANI anadai himaya yake au ni Zanzibar inadai ardhi yake?

Wakati Tanganyika inapata Uhuru, ilijalisha Tanga ilikuwa inamilikiwa na nani na Arusha ilikuwa inamilikiwa na nani?

Nyinyi kama mnataka kuuza kisiwa chenu kwa waarabu kama mnavyoshawishiwa na UAMSHO nyie uzeni lkn mjue namna mtavyojibana huko wote. Suala la kubakia huku ndio mwanzo wa kupasuliwa mayai uani mchana kweupe, msituletee harufu mbaya
 
Kama ni kuondoka ondokeni na hako ka wilaya kenu kanakoitwa Zanzibar. Kwa nini mnang'ang'ania kuondoka na Pwani yote ya Africa mashariki? Kwa Taarifa yenu, kama mkiondoka hamna hata kipande kimoja cha pwani mtakachokichukua. Kama mkitaka basi chukueni pwani hii kwa mtutu wa bunduki kwa kuzishinda Tanganyika na Kenya. Sasa jipimeni wenyewe kama hilo mtaliweza kabla hamjajitafutia matatizo.
 
watu wenye akili hufikiri kwanza kabla ya kubwabwaja kama toto tundu bungeni watakula koloni letu kama zamani. historia inajirudia subirini
 
hawa jamaa wanashangaza! Vuguvugu la kuvunja muungano wamelianza wenyewe, leo hii wanaanza kuweweseka. Kaeneo kenu ni kadogo mnataka kuwapa waarabu?
 
..........sio mnakurupuka kama watoto wa wakulima.

Umeamua kutudharau hadhalani sasa sie watoto wa wakulima. Kutumia busara na hoja za msingi ni njia bora ya kufikisha ujumbe wako pasipo kuwakwaza wengine.

Polepole ndugu!
 
hawa jamaa wanashangaza! Vuguvugu la kuvunja muungano wamelianza wenyewe, leo hii wanaanza kuweweseka. Kaeneo kenu ni kadogo mnataka kuwapa waarabu?

Kama Tanganyika ikirudi tutarudisha mipaka ya 1886 kati ya Tanganyika na Zanzibar - Tanga,. Pangani, Bagamoyo, Dar es Salaam, Kilwa, Lindi, Mtwara na Mafia zinarudi Zanzibar sio eneo dogo hilo (mafuta na gas yote yetu) na hamna ubavu wa kutuzuia, aidha madeni ya iliokuwa Tanzania yatebebwa na Tanganyika maana ndio mliokopa, kwa hiyo Toto Tundu weka akili yako sawa sawa bungeni acha bwabwaja. haya ni maeneo yetu hata Nyerere alikuwa akijua kama hajawaambia bahati mbaya.

Tunaandaa madocument kupeleka UN likilia bwaaa tu tutakutana UN chini cha kamati ya mipaka ya kimataifa.
 
K
zanzibar, punguzeni kelele..karne hii, ni ya kuwajibika si ya kuchimba miaka 200 iliyopita mataifa makubwa duniani kama marekani yameendelea kwasababu ya muungano na si jambo lingine marekani ni muungano wa nchi zaidi ya 52 lakini hakuna kelele, tena wao wameungana tokea 1776..ndio sisi tokea 64 tena nchi mbili tu?? kelele zoote hizi..embu kuweni na busara kidogo , maana bila tanganyika hamuwezi fanikiwa..urusi ilianguka kama super power baada ya nchi kujiondoa katika muungano..mpaka hivi leo urusi inajivunia historia lakini hamna, kitu..sina shaka kuna watu wachache wanawajaza madudu ambayo in reallity haiwezekaniki kutendeka, ni ndoto ya mchana ambayo nahisi hawataweza kuwatimizia..kuweni makini na watu kama hawa..

Lakini si kwa muungano wa kulazimishana kama huu. Unajua marekani walipigana vita ya wenyewe kuulinda muungano wao.
 
hawa jamaa wanashangaza! Vuguvugu la kuvunja muungano wamelianza wenyewe, leo hii wanaanza kuweweseka. Kaeneo kenu ni kadogo mnataka kuwapa waarabu?

Hatuwauzii Waalabu ,tuna dili na Wataliano ,ili dude noma ,tutauza kila kitu ,hatuuzi chenu ,nyie vipi ?
 
Nakuonea hurua mleta mada hii, waelimishe wenzio Visiwani waache kuvunja baa na makanisa kwa mgongo wa Muungano wakati wanapenda Bia kama nini...., kwa nini walivunja baar wakaiba BIA kama ni kweli Muungano ndio unaofanya pawe na vinywajio haramu?
Mnajifanya mnazingatia maadali wakati ni mafirauni wakubwa nyie, kwa utafiti ni kuwa WAznji wengini Mabasha na Mbwabwa. halafu mnajifanya mnamaadili eti wabara ndio walioleta ukahaba Zenji.
 
Mtoa hoja ni Kihiyo. Hata kama ingekuwa kweli AOU Charter inasema nchi zote za OAU zitaheshimu mipaka iliyoachwa na wakoloni. Kama ingekuwa anavyowaza huyu Kihiyo hata Milima Kilimanjaro ungekwenda Kenya maana tangu awali ulikuwa Kenya. Ndio maana hata Kamuzu Banda aligonga mwamba akidai kuwa sehemu za Ruvuma na Mbeya ni Malawi. Wazanzibari waachwe waende zao. Watanganyika hatuna cha kupoteza labda kelele na manunguniko yasioisha! Good Riddance.
 
1. Ashakum si matusi ila maneno yenyewe.......Rai hii peleka kwenu huko mnakowasha utambi ilhali hamjui mpasuko wa bomu utakuwa na impact kwa circumference ipi!!!!!!
2. Huku Tanganyika suala la origin ya mtu sisi haitusumbui asilan abadaan maadam ni mbantu na mzaliwa au ame acquire uraia kihalali noooooo doubt...nooooo problem......usitupangie nini la kufanya na Tanganyika yetu.....mkapange huko msikoutaka huu makwenu....mchambuane kisha mtajipanga upya

Eti unataka kuleta historia hapa....tunaijua na tulishaikubali ndo maana sisi Watanganyika tunasonga mbele bila kujali hiyo factor....kazi kwenu huko mnakoendekeza historia

Take home assignment kwako;Circle the best answer please....to let the bygones....or this time you go for good!!!!!!

"kuna kitu kinaitwa 'ndoto za mchana' hivi kweli ukiangalia hali ya mambo inavyoenda huko kwenu unaamini hili ulisemalo? siombi mabaya, kwani nina ndugu/jamaa/marafiki zangu wapenzi upande huo, lakini tuuvunje kwa salama na amani ili sote tukae kwa salama na amani, kinyume chake 'imekula kwako'"
 
Mtoa hoja ni Kihiyo. Hata kama ingekuwa kweli AOU Charter inasema nchi zote za OAU zitaheshimu mipaka iliyoachwa na wakoloni. Kama ingekuwa anavyowaza huyu Kihiyo hata Milima Kilimanjaro ungekwenda Kenya maana tangu awali ulikuwa Kenya. Ndio maana hata Kamuzu Banda aligonga mwamba akidai kuwa sehemu za Ruvuma na Mbeya ni Malawi. Wazanzibari waachwe waende zao. Watanganyika hatuna cha kupoteza labda kelele na manunguniko yasioisha! Good Riddance.

"ingekuwa baba yenu wa taifa ana mawazo kama yako, basi naam zamani tungekuwa tushaachwa twende, lakini sijui yeye ameona nini nyuma ya pazia?! hata ikawa hadi leo tumo tunajipapatua. ujirani mwema unatosha baina yetu"

 
Tuuze miili yetu wakati watumwa mmejaa tele :spy:

Ss hapa mtumwa nani?z'zbar o mbara?manaake nyie ndo kutwa kulalamika!......in short muungano hautavunjika mnajisumbua tu...ongeeni vizr na JK
 
Kama Tanganyika ikirudi tutarudisha mipaka ya 1886 kati ya Tanganyika na Zanzibar - Tanga,. Pangani, Bagamoyo, Dar es Salaam, Kilwa, Lindi, Mtwara na Mafia zinarudi Zanzibar sio eneo dogo hilo (mafuta na gas yote yetu) na hamna ubavu wa kutuzuia, aidha madeni ya iliokuwa Tanzania yatebebwa na Tanganyika maana ndio mliokopa, kwa hiyo Toto Tundu weka akili yako sawa sawa bungeni acha bwabwaja. haya ni maeneo yetu hata Nyerere alikuwa akijua kama hajawaambia bahati mbaya.

Tunaandaa madocument kupeleka UN likilia bwaaa tu tutakutana UN chini cha kamati ya mipaka ya kimataifa.

Yaani nyie ndo wap**mbavu wa mwisho,huyo tundu lissu mnaemdharau ndo anaewasaidia kuiambia serikali kuhusu kuvunjwa kwa huu muungano!now mnamuona mjinga?haya,lets go!
 
Zanzibar ya baada ya Mapinduzi hiyo sio Zanzibar ,ipo Zanzibar ambayo ni asili ,itafute utaiona usingije kutafuniwa kila kitu ,na zaidi si kuijua Zanzibar ni ipi ya kabla au ya baada ,mnalotakiwa mkae kwa heshima na adabu ,sio inaposemwa Zanzibar kuna wasiojielewa na kutaka kufurahisha mabwana zao kwa kuilinganisha Zanzibar na Wilaya au kijiji ,muambiwapo Zanzibar ni Nchi basi mjue kinachosemwa ,sio mnakurupuka kama watoto wa wakulima.

ahahahahaaa, sasa naaminia! nilifikiri ni stori kwamba; Nyie ni masalia ya reject! zama hizo ukionekana, mvivu, chizi fresh, maadili yako sio mazuri, taahira wa mwezi mchanga, yaani hufai kwenye jamii, basi unapigwa mnada na kuishia utumwani! haya masalia mengine yakaishia huko zenj! hivyo sishangai ulivyo athirika.
 
Back
Top Bottom