Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 93
Heri ya mwaka mpya wajameni.
Naomba kuuliza, nani waanzilishi wa Bongo HipHop/Flava? Mimi nakumbuka mara ya kwanza nasikia tapes za Saleh Jabri akirap juu ya beats za kama Vanilla Ice etc. Tukimwacha huyo, kati ya Kwanza Unit na Sugu, crew gani "imeanzisha" na kuendeleza Hip Hop? Nauliza hivi kwasababu nimegundua kuna mgawanyiko fulani katika MaMC wa Bongo. Sugu mchango wake unaonekana ila naona pia kuna wasanii wanabeef nae sababu tu wako upande wa Kwanza Unit. Lakini kila nikiangalia "maendeleo" haya bongo, naona Sugu anawapiga bao.
Someone please school me in an unbiased way!!
Naomba kuuliza, nani waanzilishi wa Bongo HipHop/Flava? Mimi nakumbuka mara ya kwanza nasikia tapes za Saleh Jabri akirap juu ya beats za kama Vanilla Ice etc. Tukimwacha huyo, kati ya Kwanza Unit na Sugu, crew gani "imeanzisha" na kuendeleza Hip Hop? Nauliza hivi kwasababu nimegundua kuna mgawanyiko fulani katika MaMC wa Bongo. Sugu mchango wake unaonekana ila naona pia kuna wasanii wanabeef nae sababu tu wako upande wa Kwanza Unit. Lakini kila nikiangalia "maendeleo" haya bongo, naona Sugu anawapiga bao.
Someone please school me in an unbiased way!!