Sijaona kosa lake huyu!
Mkuu kumbuka huyu ni mfanyakazi wa umma-sheria inasemaje kwa mfanyakazi wa umma kujihusisha na siasa akiwa mfanyakazi wa umma.
Mkuu kumbuka huyu ni mfanyakazi wa umma-sheria inasemaje kwa mfanyakazi wa umma kujihusisha na siasa akiwa mfanyakazi wa umma.
kwa mujibu wa sheria za nchi yetu mtumishi wa umma anayo haki ya kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa, lakini haruhusiwi kugombea uongozi ndani ya chama na endapo ataamua kufanya hivyo basi atalazimika kuacha kazi kwenye utumishi wa umma. Kwa hiyo msigwa kama ni mwanachama tu wa CCM hakuna kosa.
Waandishi wa habari ni watumishi wa UMMA? hata wa TANZANIA DAIMA?
Sijaona kosa lake huyu!
Kwa bahati nzuri sana, nimetokea kumfahamu Gerson Msigwa, kwanza kati waandishi wa TBC wa reportage, he is of of the best of the best they have!, the guy is good!.
Mfanyakazi hakuna shida kama atafanya siasa akiwa na Ccm chama chenye serikali lakini akiwa upinzani tutamshughulikia , Ccm ndio tuliowaajiri.
Babako sio kipofu!
Anakuwepo kwa sababu he is the best of the best wa TBC na sio kwa sababu ya kuipenda CCM!.Ndio Maana Kikwete Akienda Ughaibun Lazima Huyo Jamaa Awepo.
Kwa bahati nzuri sana, nimetokea kumfahamu Greyson Msigwa, kwanza kati waandishi wa TBC wa reportage, he is of of the best of the best they have!, the guy is good!.
Pili katika reporting yake always yuko very truthfully, objective, impartial na most of the time huwa ana balance stories sake, hivyo kwa upande wa professionalism as a journalist yuko ok!.
Tukija kwenye uandishi na siasa, amini usiamini hiyo kofia atakuwa amepewa tuu, kama alivyopewa yule balozi wa China!, na kwa vile ni mtumishi wa TBC, inawezekana isiwe a big deal kama angevaa ya Chadema!.
Sisi waandishi tunapaswa kuonyesha neutrality ila katika kazi zetu, ila pia tuna uhuru wa kuwa wanachama wa chama chochote ila hatupaswi kushabikia chama chochote!.
Ila ili ufanye kazi yako vizuri na kwa uhuru, unapaswa kuwa huru kiukweli kweli toka ndani ya nafsi yako kama jinsi mimi nilivyo, sina chama kabisa!.
Niliwahi kufanya kazi TBC, na nilikuwa incharge wa vipindi vya siasa, nilifukuzwa kazi kwa tuhuma za kushabikia upinzani, na hadi sasa hapa nilipo, CCM wanaamini kabisa mimi ni pro-opposition, huku opposition wakiamini kabisa kuwa mimi ni pro -CCM!.
Kwa vile najijua jinsi nilivyo, hainipi taabu kabisa kwa CCM kuamini mimi ni pro opposition na wala wapinzani kuamini mimi ni pro CCM, as long as journalist, naripoti truthfully with objectivity and impartiality.
Pasco
Mkuu Politiki, asante kuliona hili, the correct version nipasco hizo sentensi mbili zinapingana ulifukuzwa kwa kuonekana unashabikia ccm halafu na yeye tena ashabikie chadema asifukuzwe it does not make sense
Tukija kwenye uandishi na siasa, amini usiamini hiyo kofia atakuwa amepewa tuu, kama alivyopewa yule balozi wa China!, na kwa vile ni mtumishi wa TBC, kuvaa sare za CCM, inawezekana isiwe a big deal lakini kama angevaa sare ya Chadema, it would have been a big deal!.