AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Ktk muendelezo wa msimamo wa waandishi wa habari nchini kugomea kuandika habar zihusuzo polisi na maagents wao umechukua ukurasa mpya baada ya leo waandishi wa habari mkoani iringa walipogemea mwaliko wa kamishina wa makosa ya jinai nchini Robert Manumba (Gamba asilia) ambapo alihitaji kuzungumza nao.
The Struggles aluta continua.
Fear not.
The Struggles aluta continua.
Fear not.