Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Waandishi wa habari acheni kulalamika; mnavuna mlichopanda. Thamani yenu imeshuka sana kwenye jamii na miongoni mwa watawala. Hakuna kazi mnayofanywa inayopendwa kwenye jamii.
Tumeruhusu nchi imebaki na vyombo vya habari vya michezo, vipindi vya michezo vimekuwa kipaombele vya Taifa. Mambo ya msingi hakuna anayetaka kuyajadili wala kuyachambua, hapa ndipo dharau ilipo.
Leo wachekeshaji wote wamegeuka waandishi wa habari, mnategemea nana ataheshimu taaluma? Mkishindwa kulinda taaluma hakuna mtu atakuja kuwasaidia kuilinda. Endeleeni kuamini kwenye comedy mkidhani mnakuza taaluma, kumbe mnaiua
Wasanii wamekuwa maarufu hadi viongozi wa kisiasa wanaamini agenda zao zipo salama kwa wasanii kuliko waandishi wa habari!
Bado hamjasema?
Tumeruhusu nchi imebaki na vyombo vya habari vya michezo, vipindi vya michezo vimekuwa kipaombele vya Taifa. Mambo ya msingi hakuna anayetaka kuyajadili wala kuyachambua, hapa ndipo dharau ilipo.
Leo wachekeshaji wote wamegeuka waandishi wa habari, mnategemea nana ataheshimu taaluma? Mkishindwa kulinda taaluma hakuna mtu atakuja kuwasaidia kuilinda. Endeleeni kuamini kwenye comedy mkidhani mnakuza taaluma, kumbe mnaiua
Wasanii wamekuwa maarufu hadi viongozi wa kisiasa wanaamini agenda zao zipo salama kwa wasanii kuliko waandishi wa habari!
Bado hamjasema?