Watanzania ni lazima tuwe wakweli. Hivi kweli mtu anadai nyongeza ya mshahara 100% na malupulupu mengine?. Na hao ni waalimu tu bado madaktari na wafanyakazi wengine wa sekta nyingine mbalimbali. Serikali itapata wapi pesa za kuwalipa mishahara mnayojipangia?.
Ninakubaliana na majibu ya Mh Raisi, kwamba serikali haina uwezo wa kulipa mishahara hiyo. Anayeona hawezi kukubaliana na mshahara uliopo ni vyema aachie ngazi mara moja.
Na bila ubishi kuna mkono wa mtu (Vyama vya upinzani) kwenye migomo yote inayotokea sasa hapa nchini.
Ninakubaliana na majibu ya Mh Raisi, kwamba serikali haina uwezo wa kulipa mishahara hiyo. Anayeona hawezi kukubaliana na mshahara uliopo ni vyema aachie ngazi mara moja.
Na bila ubishi kuna mkono wa mtu (Vyama vya upinzani) kwenye migomo yote inayotokea sasa hapa nchini.