KIWAVI JF-Expert Member Jan 12, 2010 1,817 699 Jul 19, 2011 #1 Yaani napata shida sana nikimuona rafiki yangu wa Tanesco, injia maarufu akiwa aningia bar mabega juu na kusalimia watu kama hamna issue Hivi huwa mnajisikiaje na hili sakata la umeme...? Je mishahara ikichelewa na nyie mnalalama?
Yaani napata shida sana nikimuona rafiki yangu wa Tanesco, injia maarufu akiwa aningia bar mabega juu na kusalimia watu kama hamna issue Hivi huwa mnajisikiaje na hili sakata la umeme...? Je mishahara ikichelewa na nyie mnalalama?
MkimbizwaMbio JF-Expert Member Nov 16, 2010 868 331 Jul 19, 2011 #2 Wamefuata ujira wa mwiha tu. Mengine kwao sio muhimu sanaaaana.