Waafrika tunalaana gani jamani?

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
566
80
Mungu ametupa upendeleo wa kuwa na ardhi nzuri,miti,maziwa bahari ,wanyama ,samaki,ndege,madini,gas ,mafuta,binaadamu,wadudu nk.wakati wazungu wateseka na barafu,matetemeko,vimbunga ,lakini wanaongoza kwa ufundi,demokrasi,uongozi bora na maisha bora.sisi wa afrika ni vita,magonjwa,wizi na tawala mbaya sana.nini kifanyike?
 

Attachments

  • PIGA UA.jpg
    PIGA UA.jpg
    68 KB · Views: 23
Back
Top Bottom