Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,593
Swali, je sisi Waafrika/ watu wenye asili ya Kiafrika ikija kwenye mambo ya michezo na burudani kama vile muziki, tumewazidi wazungu na watu wa asili zingine kama Waasia?
Swali, je sisi Waafrika/ watu wenye asili ya Kiafrika ikija kwenye mambo ya michezo na burudani kama vile muziki, tumewazidi wazungu na watu wa asili zingine kama Waasia?
Swali, je sisi Waafrika/ watu wenye asili ya Kiafrika ikija kwenye mambo ya michezo na burudani kama vile muziki, tumewazidi wazungu na watu wa asili zingine kama Waasia?
Wazee naomba kuuliza swali, hawa kina Balali na mkewe walikuwa kwenye mashirika ya pesa ya kimataifa na waka-perfom perfectly na hatujkusikia negativity, sasa wakishaingia tu serikalini bongo basi tunaanza kusikia noma, je nayo ni low IQ au elimu ndogo?
Just curious?
Mliyosema yote ni sawa kabisa, lakini nafikiri factor ya uongozi mmeisahau. Waafrika tumeangushwa sana na viongozi tuliowachagua kwa mbinu za ujanjaujanja na ugizaugiza. Tatizo la pili ni kwamba sisi tumewaachia madaraka makubwa mno viongozi wetu, yaani tunafikiri viongozi wetu wanajua kila kitu na bahati mbaya nao wanafikiri hivyohivyo. Hata kufungua zoezi la kupima virusi vya ukimwi inabidi tumuite Rais badala ya daktari bingwa wa mambo ya virusi vya ukimwi!
Viongozi wetu wanaingia madarakani kwa kuwadanganya wananchi kuwa wanaweza kufanya kila kitu, matokeo yake hawafanyi chochote.
Bottomline: leadership leadership leadership. Tazama pale ambapo wamebahatisha kuchagua viongozi wazuri, tofauti imeonekana, Botswana, Kenya, n.k.
Whatever the nature of problems that may contribute to poor levels of education in the majority of people in African countries, the fact is that Africa remains the most economically backward continent due to among other reasons, the inferior education of most Africans.
On the same level, African countries have to import virtually everything (from pins to tractors) from outside because of acute shortage of scientific expertise and technical know-how in their workforce necessary for production and industry.
Now yo don't need to be a rocket scientist to figure out that this would be the perfect recipe for socio economic underdevelopment.
Kichuguu umenichekesha kweli...
Kwa vile sisi ni wafuasi hodari...tukimpata huyo kiongozi mwenye vision tutamfuata hadi huko..hata kuwe kuzimu...hatutamstukia kama kachemsha..sisi fuatafuata tu
Ni nini ambacho hatujaiga kutoka kwa wazungu?