jamani mweee mmerudisha ubishi ule uleeee!..
Guys hakuna kitu kibaya duniani kama kuwa maskini! Umaskini huleta NJAA ya akili na tumbo. Nitarudia kusema kwamba Umaskini wetu ni Ugonjwa!.. unahutaji tiba basi, zaidi ya yapo hakuna! kwa sababu hao hao Waafrika wanapoishi nchi hizi za Ulaya mbona wanafanikiwa sana? tena wengi wamefanikiwa ktk muda mfupi sana kuliko hata wazawa wazungu ktk nchi zao. Je, mnajua kwamba microwave ilivumbuliwa na Mtanzania ambaye kaishi ktk mazingira tofauti. Kuna mifano mingi sana ktk mazingira mazuri na utawala mzuri hata hao wazungu huko Romania na nchi za east Europe wamechoka ile mbaya!.. taratibu wenzetu wameanza kuikubali dawa ya Umaskini sio sisi.
Kama nilivyowahi kusema ktk mjadala mmoja lokuwa ukifanana na huu. mali tulizokuwa nazo sisi ni sawa na sahani la pilau siku ya maulidi!...likishuka chini tu sahani ni tupu kwa sababu hapo mjomba ni Darwin na ujanja kupata sio kuwahi tena. Hivyo basi hata utawala wetu unakuwa hauna mpangilio mzuri utadhani siku ya maulidi na hadi wananchi tumesha adopt concept hiyo. Hii ndio system ya nchi zetu tofauti na wenzetu ambao hawana harka, hula kwa visu na Umma huku wamekaa mezani na kila mtu ana plate yake!.. hiyo ndio sikukuuu ya mzungu.
Guys hakuna kitu kibaya duniani kama kuwa maskini! Umaskini huleta NJAA ya akili na tumbo. Nitarudia kusema kwamba Umaskini wetu ni Ugonjwa!.. unahutaji tiba basi, zaidi ya yapo hakuna! kwa sababu hao hao Waafrika wanapoishi nchi hizi za Ulaya mbona wanafanikiwa sana? tena wengi wamefanikiwa ktk muda mfupi sana kuliko hata wazawa wazungu ktk nchi zao. Je, mnajua kwamba microwave ilivumbuliwa na Mtanzania ambaye kaishi ktk mazingira tofauti. Kuna mifano mingi sana ktk mazingira mazuri na utawala mzuri hata hao wazungu huko Romania na nchi za east Europe wamechoka ile mbaya!.. taratibu wenzetu wameanza kuikubali dawa ya Umaskini sio sisi.
Kama nilivyowahi kusema ktk mjadala mmoja lokuwa ukifanana na huu. mali tulizokuwa nazo sisi ni sawa na sahani la pilau siku ya maulidi!...likishuka chini tu sahani ni tupu kwa sababu hapo mjomba ni Darwin na ujanja kupata sio kuwahi tena. Hivyo basi hata utawala wetu unakuwa hauna mpangilio mzuri utadhani siku ya maulidi na hadi wananchi tumesha adopt concept hiyo. Hii ndio system ya nchi zetu tofauti na wenzetu ambao hawana harka, hula kwa visu na Umma huku wamekaa mezani na kila mtu ana plate yake!.. hiyo ndio sikukuuu ya mzungu.