CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Hapana kaka si kweli ata computer unayotumia MTU wa kwanza kuweka programs alikuwa ni mwafrika ambaye ni mnigeriaNimekuwa nikisoma a lot in science , sijawahi kuona mahali mwafrika aliweza kugundua lolote katika dunia ya sayansi. I might be wrong, sijui!!!!
Tufanyeje waafrika?
Angalia attached list
Hapana kaka si kweli ata computer unayotumia MTU wa kwanza kuweka programs alikuwa ni mwafrika ambaye ni mnigeria
Google "Mpemba effect"
Muanzisha mada (kama umemsoma vizuri) anasema hajawahi kuona popote ambapo mwafrika amegundua katika ulimwengu wa science period. Inawezeka ikawa ni hiki tu, lakini pia wengi hawakijuiHivi hiyo ndo mnaweza kuionyesha?
Hakuna mengine?
mbona huo ugunduzi unaanzia miaka ya 1600?, hivi umeshawahi kulisikia au kulisoma kabila la Dogon la Mali?, Mansa Musa alipokuwa anaenda kuhiji Macca alikuwa na Mzigo wa maana wa dhahabu, nani alimfundisha kuimine na kuichakata hiyo dhahabu?Nimekuwa nikisoma a lot in science , sijawahi kuona mahali mwafrika aliweza kugundua lolote katika dunia ya sayansi. I might be wrong, sijui!!!!
Tufanyeje waafrika?
Angalia attached list
ivi mkuu dawa ya mswaki nayo ni sayansi?nauliza tuvipo vitu vingi Egypty wamegundua wao kama
-sheet za kuandikia
-calender
-mint (kama pipi kifua)
-aina mbalimbali za loki na makufuli
-dawa za mswaki
-mapiramidi etc
soma pia hapa
History of science and technology in Africa - Wikipedia, the free encyclopedia
tooth pick jeivi mkuu dawa ya mswaki nayo ni sayansi?nauliza tu
Ndio Sayansi. Au we unajua historia?nauliza tuivi mkuu dawa ya mswaki nayo ni sayansi?nauliza tu
hizo si unachonga tu,lakini pia tumegundua vitanatooth pick je
hiyo ni historia kwani iligunduliwa "zamani",sasa je ni ugunduzi wa kisayansi??Ndio Sayansi. Au we unajua historia?nauliza tu
kuna vinu mabibi zetu waalikuwa wana twangia nafakahizo si unachonga tu,lakini pia tumegundua vitana
vimefanyaje??kuna vinu mabibi zetu waalikuwa wana twangia nafaka