Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,719
Ukweli sikuzote utabaki kuwa Ukweli japo haupendwi na wale wanaoupindisha siku zote huishia kuumbuka machoni mwa hadhira ,ona sasa ukweli wa jasusi ambae anapasua vichwa vya mabosi wake CIA huyu ni Edward snowden.
Snowden ni jina lililotokana na theluji.. (naona hapa jamaa walishindwa endeleza ingetakiwa ushinde mathenge)