Time will tell them for real.
Moja ya njia ya kumpata mshindi wa huu mchezo inabidi wambuzi aseme utaisha lini na mshindi atapataje zawadi yake?wambuzi where are you?au umekula ban
Ban za kipuuzi JF zinapunguza starehe ya jukwaa ndio maana tumewapoteza watu muhimu kama wambuzi.
Wambuzi ni udhaifu umemkimbiza...
mawazo mengi mazuri yanatoka upinzani
:spy:
bungeni kina wasira na komba wanalala sana