Sana tu napenda kuzama chumvini/uvinza sana tuSana sana
Sana tu kivipi? Huendagi na side B ya CD kweli?Sana tu napenda kuzama chumvini/uvinza sana tu
Kweli haya ndio mambo ya sikukuu hebu muoneni huyu jamaaSana tu kivipi? Huendagi na side B ya CD kweli?
Kweli siendagi hiyo sehemu mkuuSana tu kivipi? Huendagi na side B ya CD kweli?
Mkuu herini ya Christmas jamani, nimewamiss mnoo na nawapenda, sema niko busy na wakwe nisijeachika ndugu zanguKweli siendagi hiyo sehemu mkuu
Mahanjumati niliyokula jana kwa ndugu na jamaa, hakika yalikuwa matamu mno...Zinaishiaishia kivipi wakati Leo pia ni full mahanjumati
Muwe mnafanya fasta
Chap nimeingia JF nikaona kila mtu yupo mzima tumshukuru mungu kwa hii pumzi, pamoja tunamkosea sana lakini Mungu wetu ni wa rehema sana, goodmorning friendsFasta fasta tafsiri nyingne ni chap chap
Friends for benefit... Hi babyChap nimeingia JF nikaona kila mtu yupo mzima tumshukuru mungu kwa hii pumzi, pamoja tunamkosea sana lakini Mungu wetu ni wa rehema sana, goodmorning friends
Baby bongo?Friends for benefit... Hi baby
Tena nlijua leo ni jumapiliFriends wa kweli hawapo tena..
Bongo ndio ingawa babes wazuli kama wewe ni wachacheBaby bongo?