mgosani
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,005
- 1,136
Huyo hajaenda kwao IndiaKiatu chake dawa, ujue n baniani huyo
Huyo hajaenda kwao IndiaKiatu chake dawa, ujue n baniani huyo
India ocean ni kubwa sana sijui inaishinda bahari ganiHuyo hajaenda kwao India
Gani neno hili limekwamisha muendelezo wa Uzi.India ocean ni kubwa sana sijui inaishinda bahari gani
Uzinzi umetamalaki sana katika wakati huu wa utandawaziGani neno hili limekwamisha muendelezo wa Uzi.
Utandawazi ni Mfano wa utapeli,dunia sasa ni kijijiUzinzi umetamalaki sana katika wakati huu wa utandawazi
Kijiji chetu hakina mipango madhubuti ya kimaendeleaoUtandawazi ni Mfano wa utapeli,dunia sasa ni kijiji
Kimaendeleo mtaa wetu unapiga hatua mbili mbele kisha tunajipongeza na kusahau hatua nane nyuma tulizipoteza.Kijiji chetu hakina mipango madhubuti ya kimaendeleao
Tulizipoteza zile mbinu za kukabiliana na adui mwishowe tulishindwa vibaya sana, hakika limekuwa ni jambo la kihistoria vizazi vijavyo vitajifunza kwa kosa hili.Kimaendeleo mtaa wetu unapiga hatua mbili mbele kisha tunajipongeza na kusahau hatua nane nyuma tulizipoteza.
Hili suala la kuogopa mafisadi na wezi wa rasilimali linarudisha nyuma maendeleo ya Jamii.Tulizipoteza zile mbinu za kukabiliana na adui mwishowe tulishindwa vibaya sana, hakika limekuwa ni jambo la kihistoria vizazi vijavyo vitajifunza kwa kosa hili.
Jamii nyingi za kitanzania zinategemea kilimo kama chanzo cha mapato yao, lakini hamna mikakati ya kuendeleza na kuboresha kilimo ili kiweze kuleta tija kwa wakulima na Taifa kwa ujumlaHili suala la kuogopa mafisadi na wezi wa rasilimali linarudisha nyuma maendeleo ya Jamii.
Ujumla kilimo na sera zake kwa Taifa hili zinachekesha utasikia kilimo cha kufa na kupona kisha kilimo ni uti wa mgongo mara kilimo kwanza.Jamii nyingi za kitanzania zinategemea kilimo kama chanzo cha mapato yao, lakini hamna mikakati ya kuendeleza na kuboresha kilimo ili kiweze kuleta tija kwa wakulima na Taifa kwa ujumla
Kwanza kabisa inatakiwa iwepo mikakati maalum na madhubuti ili kutekeleza adhima ya kilimo boraUjumla kilimo na sera zake kwa Taifa hili zinachekesha utasikia kilimo cha kufa na kupona kisha kilimo ni uti wa mgongo mara kilimo kwanza.
"Bora ningezaliwa hata mbwa ulaya",maneno haya yalimutoka mnyoa kiduku na bitozi wa tandale.Kwanza kabisa inatakiwa iwepo mikakati maalum na madhubuti ili kutekeleza adhima ya kilimo bora
Mbwa ndio zilozo mjeruhi mzee KingungeTandale kwa mfuga mbwa
50centVijiji vya tz vishapewa milion 50