Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Mwenyew anajiita cjui naniWewe unachati mwenyewe
Mwenyew anajiita cjui naniWewe unachati mwenyewe
Sijui nani leo aliniambia ikifika saa tano nimpigie simuMwenyew anajiita cjui nani
Simu cku izi ni bei ghali sana labda umuandikie emailSijui nani leo aliniambia ikifika saa tano nimpigie simu
Simu yangu imepasuka kioo natafuta fundi wa kuitengenezaSijui nani leo aliniambia ikifika saa tano nimpigie simu
Kuitengeneza sio ishu,ishu ni kununua mpyaSimu yangu imepasuka kioo natafuta fundi wa kuitengeneza
Mpya kwani ni bei gnKuitengeneza sio ishu,ishu ni kununua mpya
Bei gn jmn naulizaMpya kwani ni bei gn
Nauliza swali mnijibu jmnBei gn jmn nauliza
Jmn mmekimbiaNauliza swali mnijibu jmn
Mmekimbia nimebak mwenyewJmn mmekimbia
Mwenyew nimeshindaMmekimbia nimebak mwenyew
Nimeshinda nipeni medaniMwenyew nimeshinda
Medani ya hadhi ya juuNimeshinda nipeni medani
Juu wapi,kwani unataka ya sh ngapiMedani ya hadhi ya juu
Juu ya paa kuna kiota cha ndege na banda la njiwaMedani ya hadhi ya juu
Njiwa nanunua nani aniuzie jamaniJuu ya paa kuna kiota cha ndege na banda la njiwa
Jmn ntakuuzia Kwa jumlajumlaNjiwa nanunua nani aniuzie jamani
Jamani njiwa mbona wapo wanauzwa, hata ukitaka tetere, ndege wa rangi nzuri wanaofanana na kasukuNjiwa nanunua nani aniuzie jamani
Kasuku sio wazuri kama tausiJamani njiwa mbona wapo wanauzwa, hata ukitaka tetere, ndege wa rangi nzuri wanaofanana na kasuku
Tausi dume ana mkia unachanua asubuhi na jioniKasuku sio wazuri kama tausi