Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Hizi Comment nimezikutakwenye blog moja nikabaki nacheka......
Zimeanza ivi...
Zimeanza ivi...
akaja huyu akasema....Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Mwingine akajibu ivi...KAULIZE kwenye FORUM ya JAMII FORUM,huko kuna midume imesoma na hawana hata time
ya kutongoza wao siasa tu na maswala ya maendeleo,dada yangu alimpata mmoja na
hivi sasa anapeta london
huyu ndo akaniacha hoi...WANAUME WA JAMII FORUM HAWANA HATA TIME YA KUBADILISHA CHUPI WALA YA
KUCHAMBA.....
:violin:kazi kwelikweli....hahahahaJamii Forum ni VIBAMIA tu vimejazana, na mambo ya alamba sio yao
inanhuuu????????