Ndanda ndugu yangu,kwani sio mbali na gharama zake ni nafuu mno.ni ndanda school of nursing.
Ni zipi qualification za kuchukua wanafunzi(especially matokeo ya form IV)?
Ni zipi qualification za kuchukua wanafunzi(especially matokeo ya form IV)?
Ni zipi qualification za kuchukua wanafunzi(especially matokeo ya form IV)?
Chuo cha uuguzi Peramiho wanatoa certificate na diploma at least D ya masomo ya physics, chemistry, biology na Mathematics. Ada cheap form elfu 10,000/=
Soma hapa MAOMBI YA NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA WA MASOMO 2013/14Jamani hivi diploma na cheti za wizara ya afya,MUHIMBILI, na BUGANDO 2013/2014 Zimetoka? nisaidieni please 0659364407