Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Maandamano yanayoendelea mikoa ya Kusini yamekosa mvuto na msisimko na kile kinachoelezwa kupuuzwa na vyombo vya habari magazeti na Television. Ni gazeni moja tu la Tanzania Daima ndio limekua liki ripoti kila mara nalo hatoi ukurasa wa mbele! Tofaut na maandamano ya kanda ya Ziwa yalileta msituka mkubwa hasa kwa Serikali ya Kikwete safari hii imekua tofauti na hata Viongozi wa Chadema ambao wako kwenye maandamano wameshangaa kuona mwitikio ni mdogo! Wataalam wa mambo ya siasa wanasema suala la Chadema kuandamana limezoeleka na sio jambo jipya kwa Watanzania.