BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Naomba nijuzwe tangu Kampani za Mwaka huu zizunduliwe Agosti 21 mbona sijasikia kampeni za vyama vifuatavyo:
1. NCCR-MAGEUZI
2. UDP
3. TLP
4. SAU
Je! Hivi vyama ni kwamba havijazindua rasmi kampeni zao ama inakuwaje? Maana ni vyama vitatu tu ndio vinavyozungumziwa kwenye tasnia ya habari (CHADEMA,CCM na CUF)
Naomba kuwakilisha
1. NCCR-MAGEUZI
2. UDP
3. TLP
4. SAU
Je! Hivi vyama ni kwamba havijazindua rasmi kampeni zao ama inakuwaje? Maana ni vyama vitatu tu ndio vinavyozungumziwa kwenye tasnia ya habari (CHADEMA,CCM na CUF)
Naomba kuwakilisha