Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Mkuu inasikitisha kuona kwamba ambaye alitakiwa kutuongoza tuwe na taifa lenye watu wenye uchu wa elimu na wasomi anatusaidia tujenge taifa la watu wasiohitaji kuwa na kiu ya elimu, hii ni hatari sana.Ya leo kali mkuu katoa
Ova
Wakati wao wakisomesha wa kwao ughaibuni waje kuwatawala wa kwetu wasio na elimu kwa dharau ya elimu itakayofuatia.
Kweli Derek Bok alisema "If you think education is expensive, try ignorance" lakini hatujiulizi leo hii chuo kikuu cha Harvard kina nafasi gani kielimu duniani.