Vikao vya CCM Ikulu: Sekretariati ya Maadili imekiuka Sheria ya Maadili

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,667
105,968
Screenshot_2017-09-28-18-05-40.png


Bongo bahati mbaya

Sijui kama nchi zingine kuna taasisi kubwa kikatiba lakini zimejaa ujanja ujanja kama Bongo.

Siri zimevuja toka kwa Bonny Jacob kwamba sekretariati ilimwambia hakuna mtu aliyewahi kulalamika vikao vya chama kufanyika ikulu. Ikimaanishwa kwamba tume inapokea malalamiko tu na sio kazi yake kuhakikisha maadili ya viongozi yanafuatwa hata kama habari zimezagaa ni lazima waletewe malalamiko.

Kwa maana nyingine hata picha na ushahidi wa maana ukizagaa kwenye media kuna kiongozi anafanya ngono ofisini,tume haina cha kufanya mpaka iletewe malalamiko.

Nimeshtushwa sana. Sheria ya ya maadili ya viongozi wa umma ya 1995 imeweka wazi. Kifungu cha 19(2)(a) kinasema tume itapokea malalamiko.............kifungu cha 19(2) kifungo kidogo cha ''c" kinasema tume itachunguza au kudadisi malalamiko au madai ya kiongozi kukiuka maadili.

Kwa maana nyingine kama kuna jambo la kukiuka maadili linazungumzwa huko duniani tume itamuita muhusika na kumuhoji,sio lazima mtu wa nje alete malalamiko

Hitimisho
Tunaitaka tume imuite Rais Magufuli imuhoji kwa nini anakiuka maadili kwa kufanya vikao vya chama ikulu
 
ccm hoyeee

mhimili umechimbiwa sna

wanaanzaje kumbishia kamanda in chief, wajalibu waone cha mtema kuni

now tunapiga bastola tu na hakuna cha kutufanya
 
View attachment 597655

Bongo bahati mbaya

Sijui kama nchi zingine kuna taasisi kubwa kikatiba lakini zimejaa ujanja ujanja kama Bongo.

Siri zimevuja toka kwa Bonny Jacob kwamba sekretariati ilimwambia hakuna mtu aliyewahi kulalamika vikao vya chama kufanyika ikulu. Ikimaanishwa kwamba tume inapokea malalamiko tu na sio kazi yake kuhakikisha maadili ya viongozi yanafuatwa hata kama habari zimezagaa ni lazima waletewe malalamiko.

Kwa maana nyingine hata picha na ushahidi wa maana ukizagaa kwenye media kuna kiongozi anafanya ngono ofisini,tume haina cha kufanya mpaka iletewe malalamiko.

Nimeshtushwa sana. Sheria ya ya maadili ya viongozi wa umma ya 1995 imeweka wazi. Kifungu cha 19(2)(a) kinasema tume itapokea malalamiko.............kifungu cha 19(2) kifungo kidogo cha ''c" kinasema tume itachunguza au kudadisi malalamiko au madai ya kiongozi kukiuka maadili.

Kwa maana nyingine kama kuna jambo la kukiuka maadili linazungumzwa huko duniani tume itamuita muhusika na kumuhoji,sio lazima mtu wa nje alete malalamiko

Hitimisho
Tunaitaka tume imuite Rais Magufuli imuhoji kwa nini anakiuka maadili kwa kufanya vikao vya chama ikulu
Ccm mbele kwa mbele hawa wako juu ya sheria
 
View attachment 597655

Bongo bahati mbaya

Sijui kama nchi zingine kuna taasisi kubwa kikatiba lakini zimejaa ujanja ujanja kama Bongo.

Siri zimevuja toka kwa Bonny Jacob kwamba sekretariati ilimwambia hakuna mtu aliyewahi kulalamika vikao vya chama kufanyika ikulu. Ikimaanishwa kwamba tume inapokea malalamiko tu na sio kazi yake kuhakikisha maadili ya viongozi yanafuatwa hata kama habari zimezagaa ni lazima waletewe malalamiko.

Kwa maana nyingine hata picha na ushahidi wa maana ukizagaa kwenye media kuna kiongozi anafanya ngono ofisini,tume haina cha kufanya mpaka iletewe malalamiko.

Nimeshtushwa sana. Sheria ya ya maadili ya viongozi wa umma ya 1995 imeweka wazi. Kifungu cha 19(2)(a) kinasema tume itapokea malalamiko.............kifungu cha 19(2) kifungo kidogo cha ''c" kinasema tume itachunguza au kudadisi malalamiko au madai ya kiongozi kukiuka maadili.

Kwa maana nyingine kama kuna jambo la kukiuka maadili linazungumzwa huko duniani tume itamuita muhusika na kumuhoji,sio lazima mtu wa nje alete malalamiko

Hitimisho
Tunaitaka tume imuite Rais Magufuli imuhoji kwa nini anakiuka maadili kwa kufanya vikao vya chama ikulu
Nyie mnataka kuvuruga hii kitu. Ungeacha meya aendelee si lazima uandike sredi mkuu!!!!!
 
Nina hofu sana huko tuendako mikutano ya kufunga ama kuzindua kampeni za ccm itafanyikia kwenye makambi au vyuo vya kijeshi! Na mgeni rasmi akawa mkuu wa majeshi! Na wanajeshi wakashonewa jezi za rangi maalum za chama ili kunogesha shughuli hiyo!! Nawaza tu! Siku ikiwa hivyo! Sijui kama vyama vya upinzani na hizi sijui taasisi za kiraia zitakuwa tena na kiherehere cha kuikosoa serikali ya chama chetu kinachopendwa hadi na mashetani!
 
yaani hii nchi kwa sasa hatujui magufuli ataamka na amri gani kesho asubuhi.
 
Yaani Tanzania na watanzania kwa ujumla tumepotea ,sasa hivi hakuna sababu ya kua na Tume hata ya uchaguzi maana wote wanaitikia Ndio kwa Muhimili uliojikita zaidi
 
Hii nchi mambo yanaendaenda tu bila nidhamu.. Sijui kwanini?

Mtu anafanya kitu cha hovyo kweli lakini anachekewa na kitu kinaonekana cha kawaida!
 
View attachment 597655

Bongo bahati mbaya

Sijui kama nchi zingine kuna taasisi kubwa kikatiba lakini zimejaa ujanja ujanja kama Bongo.

Siri zimevuja toka kwa Bonny Jacob kwamba sekretariati ilimwambia hakuna mtu aliyewahi kulalamika vikao vya chama kufanyika ikulu. Ikimaanishwa kwamba tume inapokea malalamiko tu na sio kazi yake kuhakikisha maadili ya viongozi yanafuatwa hata kama habari zimezagaa ni lazima waletewe malalamiko.

Kwa maana nyingine hata picha na ushahidi wa maana ukizagaa kwenye media kuna kiongozi anafanya ngono ofisini,tume haina cha kufanya mpaka iletewe malalamiko.

Nimeshtushwa sana. Sheria ya ya maadili ya viongozi wa umma ya 1995 imeweka wazi. Kifungu cha 19(2)(a) kinasema tume itapokea malalamiko.............kifungu cha 19(2) kifungo kidogo cha ''c" kinasema tume itachunguza au kudadisi malalamiko au madai ya kiongozi kukiuka maadili.

Kwa maana nyingine kama kuna jambo la kukiuka maadili linazungumzwa huko duniani tume itamuita muhusika na kumuhoji,sio lazima mtu wa nje alete malalamiko

Hitimisho
Tunaitaka tume imuite Rais Magufuli imuhoji kwa nini anakiuka maadili kwa kufanya vikao vya chama ikulu

Hapa ndipo inakuja tofauti yangu na wengi humu. Michango yangu utadhani niko CHADEMA lakini sivyo, mimi husimamia ukweli. Katika hili najua wengi humu CHADEMA mtanipinga lakini sijali maana yapo mengi nimetoa in your favor.

Hiyo section 19(2)(c) mimi nimeisoma inasema hivi "The Secretariat shall, subject to Constitution and to this Atc, have duty to receive, inquire into any alleged or suspected breach of the Code by all public leaders who are subject to this Act".

Wewe umesoma ama hukuona au umeruka neno "receive". Hivyo ni kweli lazima kwanza wapokee jambo ndipo walifanyie kazi.

Kwa ujumla Meya Jacob amepata bahati ya kuwa mtanzania wa kwanza kushitaki vikao vya CCM kufanyikia Ikulu, ingawa haikuwa kesi yake na Commissin ilifanya sahihi kumuelekeza vile. yeye ashukuru kwamba ingawa alielekezwa na hiyo ikawa ni kesi mpya basi ameweka historia.

Kingine ni kwamba Commission hii inafanya kazi kama mahakama. Mbona huulizi kwamba Jaji au Hakimu akiona mtu ameiba waziwazi au ameua, mahakama haichukui kesi moja kwa moja.

Kitendo cha kutopeleka kesi mahakamani huitwa "condonation" yaani umeacha kushitaki ingawa ni haki yako. Sheria zimewekwa ili wananchi mzitumie.

Kwa mfano, najua wafanyakazi wengi hamjashitaki kama mlipimwa afya zenu mlipoacha ajira zenu kokote mlikopitia. Lakini kuna sheria Namba 5 ya mwaka 2003 katika section 24 ulitakiwa kupeleka mashitaka pale OSHA ili mwajiri ahukumiwe na wewe ulipwe haki zako.

Mbona wewe ninaamini hujafanya hivyo na wengi nchini asilimia 90 hamjaenda kushitaki pale OSHA. Sasa unategemea OSHA ikupe haki yako wakati wewe umepuyanga na shughuli zako nyingine.

Hivyo, tume ile ni mahakama na maadili ya mahakama ni lazima awepo mtu ashitaki. Magazeti na mitandao si forum ya mashitaka. Huku kunafaa wanasiasa tu ambao mtu akichafuliwa na hata kama ni kweli wananchi wanajua fulani ni mchafu. Mtu ikitanazwa ni Bashite kisiasa hiyo inalipa kwani uchaguzi ujao atakoma na chama kilichomtangaza kinapata credit.

Lakini Mahakamani hawawezi kushugulika na Bashite hadi upeleke madai kama hivi.

Natumaini mmeelewa.
 
Yaani Tanzania na watanzania kwa ujumla tumepotea ,sasa hivi hakuna sababu ya kua na Tume hata ya uchaguzi maana wote wanaitikia Ndio kwa Muhimili uliojikita zaidi
Hahahha wenye mizizi iliyozama zaid,...kwa wanasheria that's a new jurisprudence in the separation of power doctrine
 
Ikulu, bunge, mahakama kuu sisiemu inatamalaki...zidumu fikra tatanishi za m/kiti.
 
Back
Top Bottom