Gwankaja Gwakilingo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 1,996
- 615
hapo kuna tatizo
Wamelaaniwa
wapi boflo?
duh inabidi kuomba muongozo wa spika hapo.
Hawa wote ni wakazi wa Magomeni na wanapatikana sana Kwa Frank Pub na Lango la jiji, ukipata nafasi ya kusikia story zao za jinsi walivyoanza huo umarhun unaweza kulia, wengi wao wameharibiwa na ndugu zao wa damu kabisa, kwa sababu ya haya mambo ya kiafrika ya kulaza watoto wadogo na watu wazima chumba kimoja bila kuwa na ufatiliaji! Na wengine ni boarding zetu za kiswahili hizi! Huyo mmoja anaitwa Bilal mashauzi, ana wenzake kina Aunt Khamis na wengine wengi, wako kibao!
Hawa wote ni wakazi wa Magomeni na wanapatikana sana Kwa Frank Pub na Lango la jiji, ukipata nafasi ya kusikia story zao za jinsi walivyoanza huo umarhun unaweza kulia, wengi wao wameharibiwa na ndugu zao wa damu kabisa, kwa sababu ya haya mambo ya kiafrika ya kulaza watoto wadogo na watu wazima chumba kimoja bila kuwa na ufatiliaji! Na wengine ni boarding zetu za kiswahili hizi! Huyo mmoja anaitwa Bilal mashauzi, ana wenzake kina Aunt Khamis na wengine wengi, wako kibao!
hata kama hawa jamaa mnasema ni mavictim wa malez ila mi siwez kuwaunga mkono hata kidogo kidogo kwan ubaya wa malez tunaupeleka kwa wazazi wao ila kwanini wao washindwe kukaza hata kidogo kwani walisahau kuwa wao ni watoto wa kiume? achana na hayo hata kama hawa wapumbavu wwaliharibikia mashulen inamaana walishakuwa na akili ya utambuzi wa mema pia mabaya walishindwaje pia hapo kwan napo ni pakuwalaumu walezi? Hebu tazama mfano mdogo tu wa wale wanaoharibikia gerezani kwani nao hukutwa na hayo kama tu unapenda kujilegeza kwa kupenda ulinzi kutoka kwa wa kiume mwenzio au kama si ulinzi basi ulipenda kula kwa msaada wa wa kiume mwenzio kama sio yote basi ni vitu vidogo tu kama vile cigarates!!!!! Je hayo nayo ni malezi!!!! Ila tusiwe watu wa lawama kupita kiasi kwani wapo pia wenye mapungufu yakibiologia!!!