MMAHE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 816
- 417
Wakwao hawezi kuongea ndio maana wanaamua kumpigania yaani hajiwezi Mungu asiye na miujiza yaani we acha tu
Wa kwenu anaongea wapi nisikilize anachoongea!
Wakwao hawezi kuongea ndio maana wanaamua kumpigania yaani hajiwezi Mungu asiye na miujiza yaani we acha tu
Koran si kitabu cha kitabu mungu jamani? sasa si waache mungu apambane na huyo kijana? wao wanataka kuchukua jukumu la mungu sio.
Jaman Mungu gani anategemea askari wenye nyama(mavumbi) na damu wamtetee? Mungu wa kweli hujitetea mwenyewe, wala hahitaji kutetewa na mtu aliyemuumba. Mimi naamini kufanya hivyo ni kushusha hadhi ya MUNGU na kuapndisha hadhi ya binadamu
ninong'oneze mwaya shemu langu....
why jihad....ni kitu gani hasa kimetokea watanzania tumekuwa hivi....? tumeishi kwa amani na ushirikiano wakristo na waislamu miaka yote.....tuna ndugu waislamu/wakristo.....tuna wapenzi waislamu/wakristo....je tuuwane kisa dini.....NO....Abdulrahman wangu simuachi labda kije kiama.....
Hakuna haki bila jihaad
daah hizi imani hizi zitatuua soon
Wa kwenu anaongea wapi nisikilize anachoongea!
hapa mkuu usirukie kwenye conclusion.....tujue kwanza ilikuwaje....kama ni wakristo wamefanya hivyo wachukuliwe hatua....ni lazima dini zote tuheshimiane.....kila mtu ana uhuru wa kuabudu.....