Najua wengi wenu mtahisi au mtaniona kama mropokaji lkn kamwe damu ya kitanzania na kamwe haitakuwa ya tanganyika wala ya kizanzibari. kwangu hupatwa na mfadhaiko nikimsikia mtu anajitambulisha yy ni mzanzibari au yy ni mtanganyika. uchezeeni muungano leo lkn kesho mutajuta. tunachotakiwa ni kuurekebisha mfumo wa muungano wa si kutengana haswa ktk wakati huu ambao tuhitaji kuujenga uchumi wetu. lkn mkiamua kamwe sitokuwa mtanganyika wala mzanzibari.
Mwanaone ukisema wewe mtanzania maana yake ni kuwa wewe ni zao la muungano wa jamhuri za Tanganyika na Zanzibar. Muugano ukivunjika hakutakuwa na watu watakaoitwa watanzania. Kutakuwa na Watanganyika na Wazanzibar. Wewe itabidi uchague tu kati ya hayo majina mawili.