VPL leo tar. 21/04/2015: Yanga vs Stand United

Mkuu ni kawaida yetu kushinda na ni kawaida yenu kufungwa na kutoa sare,.....,

Mkuu, ... bila kusahau kwamba ni kawaida yenu kufungwa na Simba (.. hata tusipofanya mazoezi au hata tukiwa kwenye mgogoro)
 
Mkuu, ... bila kusahau kwamba ni kawaida yenu kufungwa na Simba (.. hata tusipofanya mazoezi au hata tukiwa kwenye mgogoro)
Sio vibaya mkiifunga yanga kwa sababu msimu mzima wa ligi mnaiandaa timu yenu kwa ajili ya game mbili tu za kukutana na yanga, na ndio maana msimu wa tatu sasa mnagombania kuepuka kushuka daraja.......
 
Wazee wa kuishia raundi ya kwanza michuano ya CAF.

Wazee wa kupenda mechi za ligi ya Bara kasoro ile dhidi ya Simba

Wazee wa kuzimia

Raundi ya awali tulicheza na BDF XI ya Botswana, Raundi ya kwanza tulicheza na Platinum FC ya Zimbabwe, sasa tuko raundi ya pili tukitoana jasho na Etoile Sportive du Sahel ya Tunisia. Kwa hiyo maelezo yako si sahihi, kwa mujibu wa Muswaada wa Sheria ya Makosa ya mtandaoni uliopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (ukisubiri signature ya Rais) umetenda kosa chini ya Kifungu cha 16, nanukuu:

"16.- Any person who publishes information, data or facts presented in a picture, text, symbol or any other form in a computer system where such
information, data or fact is false, desceptive, misleading or inaccurate commits an offence, and shall on conviction be liable to a fine not less than three million
shillings or to imprisonment for a term not less than six months or to both
".




 
Back
Top Bottom