Mlimchagua wenyewe... Si mlitaka Rais handsum wa kuuza sura? Mmempata tunae huyu mpaka 2015... Kuna baadhi ya wana ccm wanataka apigwe chini au ajiuzulu kabla ya 2015 bt sioni hiyo kutokea
Really....Sito shangaa sana kwani nitashangaa kama halitatokea...Niliona ndege yake ikiungua hewani kwa macho ya kinabii na ilikuwa 2007 nami nilipokuwa nikiona wanafanya mizaha wakati watu serious na waliomtakia mema wakipiga kelele mpaka wakachoka huku waliokuwa na ajenda zao waliendelea kumdanganya kwa faida zao binafsi nilitambua ule ulikuwa unabii kamili; sasa anaona its too late for almost everything na hajui ashike lipi aache lipi too bad for him!