mahololelo
Member
- Oct 11, 2011
- 32
- 5
niupigie kura kwa faida ya nani.kama rasilimali za taifa zingekuwa na faida kwa watanzania ningepiga.siwezi kuendelea kuneemesha mafisadi
jamani marafiki hebu tuweni wazalendo na tuupigie mlima kilimanjaro ili uingie kwenye maajabu saba ya dunia kwa kutumia namba ( 15771 ) ni bure kwa mitandao ya airtel na vodacom hivyo jamani tuupigi kura mlima wetu mpaka simu ziishe charg.
Jamani marafiki hebu tuweni wazalendo na tuupigie mlima kilimanjaro ili uingie kwenye maajabu saba ya dunia kwa kutumia namba ( 15771 ) ni bure kwa mitandao ya Airtel na Vodacom hivyo jamani tuupigi kura mlima wetu mpaka simu ziishe charg.
Tuwe wazalendo wa Ukweli
Tuupigie kura Mlima Kilimanjaro ili uingie maajabu SABA (7 ) mapya ya Dunia
Ili kuupigia tuma Neno " KILI " kwenda 15771