BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
atapigiwa na ccm
hahaha india watanyooooka mwaka u wanaacha kutuwekea akina sharuk wanamleta pili mchopanga minyoooosho tu
endiwooooooooking of afropop
africas michael jackson
atapigiwa na ccm
Hizi ni baraka alizokuja nazo tiffa
King of Afropop
Africas Michael Jackson
hahaha india watanyooooka mwaka u wanaacha kutuwekea akina sharuk wanamleta pili mchopanga minyoooosho tu
tuna voteeeee
Yaan nikiamka tu asubuh naanza na kura 50
nikienda chooni zingine 50
mchana nikiwa break ofsn 50
nikiwa kwenye foleni 20 maana huwa kifoleni kinaenda enda
nikirudi nyumbani kabla sijalala 50
nyie wengine mpigieni hata amitah bachan wala hamtupi presha na akishinda kama kawaida airport tutaenda na picha tutapiga na kuziona mtaziona na ku like juu....Ama nenee
Diamond sio tu kwasababu anajitambua na umeilewa lakini ni alama ya Tanzania kimataifa...
Kura yangu anayo.baba tiffah
endiwoooooooo
Wakuu inabidi tu-vote bila kuchoka coz' am afraid tusivyojipanga vizuri ile series ambayo Priyanka ana-lead inaweza kumbeba sana kwa kujiongezea mashabiki.Hahahaha kwani DAVIDO hamkumpigia???
Tumemnyoosha Afrimma, tumemnyoosha MTV EMA
Sasahivi tumemaliza Afrika, tupo India arebaaaba lazima wanyooke afu Wakina Nick Minaj wajiandae mamaeeeeeee chezea Chibu Dangote!!!!!
Team diamond platnumz Foevaaaaa!!