Gari limekuja na hii system lakini inaonekana kuhitaji CD ya ku reboot ili ifanye kazi. Nasikia kuna wanaofanya hii kazi. Tafadhali wana jf saidia hapa nimekwama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.