Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Huvi majuzi nilinunua moderm ya Voda. Naitumia town fresh, iko poa. Shida ninapokuwa nje ya mji kidogo, mawasiliano hakuna. Je hii ni shida gani. Kuna yeyote anayepata shida hii? Nalazimika kurudi Zantel ila nilipenda Voda zaidi. Voda watuambie configuration zitakiwazo la sivyo najitoa kundini.