Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,094
- 4,396
Mimi baada ya kukosa maada hapa Arusha kuna dada anaitwa Yunis yuko Customer Care pale Block 4 Mlimani City ananiambia niende dar akanionyeshe matumizi yangu huyu dada ni -------- sija wahi ona kwanza anajifanya anajua na haki kumsikiliza mteja amebaki kungangania kuwa matumizi yako yako yametumika kwenye data eti 600mb na tshs 30337 ndani ya saa tatu, ------- zenu vodacom waizi wakubwa nyie nije dar kufatilia 30337 au nyie matahira nini mnanilipia gharama mnajua nauli ya arusha - Dar nitalala na wewe nikifika dar, nitakula kwako, nitakunywa kwako, kazi zangu huku utazifanya wewe, hivi wewe yunis unaakili kichwani kwako kweli..nimekuuliza swali dogo tu 30337 ni sawa na kb/mb/gb ngapi? + 600mb...
The so privailling Yunis must be eliminated from the office and completely be ban from dealing with customer care unit in any other service provider!
This is so called reputational risk, ruining it at par implies a total failure/collapsing of internal control.
VodaCom be watchful!