Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,380
- 33,030
Vodacom Tanzania naombeni mniambie hiki ni kitu gani na kwa nini napata hizi msg toka kwenu na ninawezaje kujitoa kwenye huu upuuzi wenu
Kwa kweli sifurahishwi kabisa na hizi msg zenu mnazonitumia bila mimi kuomba. Naombeni muache huu ujinga
Kwa kweli sifurahishwi kabisa na hizi msg zenu mnazonitumia bila mimi kuomba. Naombeni muache huu ujinga