Tumainiandy
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 429
- 86
Nenda kwenye duka hizo za kupiga huwa wana limit za kurudisha walichofanya hapo ni kublock ukienda voda shop mara moja. Pole sana
Nenda kwenye duka hizo za kupiga huwa wana limit za kurudisha walichofanya hapo ni kublock ukienda voda shop mara moja. Pole sana
hii mitandao yote ni shida tu...labda hii mipya ya saiz ila voda na airtel na tigo ni kuna wizi sana, juzinilikuwa wakala wa tigopesa analalamika eti kuibiwa pesa na watu wa tigo..
nimejiunga bando wa wiki baada ya hapo natupa line, kwanza wanyonyaji haiwezekani nilipe elfu tano kutuma laki hata mastacard hawako hivyo bora nimpatie pesa konda wa zuberi nimpe na buku ya soda
Nimetuma hela kwa mpesa ni wiki sasa pesa haijafika na hakuna msaada wowote kutoka Vodacom, kesho natupa sim kadi yao.
Voda wameanza ku decline. Mimi nina miezi kama 15 line iko on lakini siirecharge
Hasira hasara, voda wana wateja wengi bwana, kwa kutupa kwako SIM CARD yao wala hawatapata taarifa na wala hawatajua kama wamekupoteza. Wewe komaa nao tu wakurudishie pesa yako, mimi ilishatokea kama wewe haikuchukua muda wakarudisha. Usiwaachie, hilo ni jasho lako. Kama una maamuzi hasi na voda hakikisha unarudishiwa MTONYO wako kwanza ndio ufanye hayo maamuzi hasi. Makampuni yote simu ndugu yangu tabia zinafanana, hakuna kwa kukimbilia na wala sijakuona kwenye unafuu.
Vodacom sina hamu na nyie nimetoa hela kwenye mpesa kwenda kwenye account yangu bank cha kushangaza pesa bank hakuna wala mpesa nikiongea nao wananniambia subiri kidogo nazungushwa tuuuuu bila sababu za msingi