Benson kaile
Member
- Dec 15, 2013
- 7
- 1
Wadau naomba maelekezo kwa anaye fahamu jinsi ya mtu kumrushia mwenzie Vocha baada ya yeye kuijaza kwake na aweze kui forward kwangu..??
Labda kama kuna code za kutumia au mfumo wowote! Tafadhali.
Labda kama kuna code za kutumia au mfumo wowote! Tafadhali.