NTAKILUTA NDATO
Member
- Jun 19, 2015
- 25
- 4
Dah Voda bwana ni mtandao wangu toka zamani naupenda, kasi yake hata umaarufu wake mkoani ninakotokea. ila nimejikuta sithamini kama mwanzo baada ya kukutana na tigo hapa mjini dar chanzo kikubwa mimi kudharau voda ni huduma mbovu za wa hudumu, uhaba wa ofisi zenye huduma zote japo mpaka sasa sijui ofisi hata moja ya vodacom yenye huduma zote, hali ambayo inanifanya nikidukuliwa pesa kwenye mpesa, au salio la kawaida sina sehemu ya kukimbilia, na nimeshapoteza hela nyingi sana.
kwa hiyo vodacom, ofisi zenye ukamilifu kivifaa na wahudumu kwa hapa mbagala dar hamnaa.
kwa hiyo mtanipata kwenye masuala madogomadogo ya muda tu mpaka nikirudi kijijini ndo nitakuwa mteja wenu.
kwa hiyo vodacom, ofisi zenye ukamilifu kivifaa na wahudumu kwa hapa mbagala dar hamnaa.
kwa hiyo mtanipata kwenye masuala madogomadogo ya muda tu mpaka nikirudi kijijini ndo nitakuwa mteja wenu.