Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania wherever you are come here.. Mmezidi wizi I want my money back.. Acheni upuuzi kabisa... We are working so hard to get money... Haiwezekani mchukue hela yangu kiulani... Ujinga ujinga sasa nimechoka kuvumilia tafadhali rudisheni hela zangu kwenye akaunti yangu ya salio
 
Last edited by a moderator:
Vodacom mbona wizi umewakaa maungoni??Vifrushi vya data mna kifrush cha wiki 1gb sh 4999 hapo hapo mnakifrushi cha mwezi 1gb sh 15000 sasa tuwaelewe vipi wezi zana vodacom
 
Last edited by a moderator:
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Natafuta laini ya uwakala wa M-Pesa, ili niipate nahitaji kuwasilisha nyaraka zipi ofisini kwenu? Hizo nyaraka ziwe na sifa gani? Inachukua muda gani ili niipate? Inahusisha gharama kiasi gani?
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania

Natafuta laini ya uwakala wa M-Pesa, ili niipate nahitaji kuwasilisha nyaraka zipi ofisini kwenu? Hizo nyaraka ziwe na sifa gani? Inachukua muda gani ili niipate? Inahusisha gharama kiasi gani ili nipate hiyo laini??
 
msaada wenu wadau,jamaa kashaitoa na voda wanasema hawana jinsi ya kufanya labda mpaka jamaa aweke pesa kwenye akaunti yake ndio wataikata. polisi nao wamesema watafuatlia ni siku ya nne sasa! jamaa anapatkana ila hapokei simu na akipokea haongei.
 
Ongea vizuri na askari hao watafuatilia kwa voda na watamuona huyo jamaa anaongea kutokea wapi uwezekano wa kumkamata upo labda wakubanie tu.Ila uwatoe kwanza maana ndo tz hii
 
200'000 ...sahau polisi wanajua gharama zote had kumpata jamaa inavuka hyo pesa... Hivyo hawawez kufanya ktu... Ingekuw million kadhaaa ungeon koz wanajua watapiga cha juu
 
msaada wenu wadau,jamaa kashaitoa na voda wanasema hawana jinsi ya kufanya labda mpaka jamaa aweke pesa kwenye akaunti yake ndio wataikata. polisi nao wamesema watafuatlia ni siku ya nne sasa! jamaa anapatkana ila hapokei simu na akipokea haongei.

Kama polisi na vodacom wameonesha kupuuza achana nayo maana hakuna jinsi ya kumpata mhusika bila ushirikiano kutoka kwao na vodacom.
Nilishajiuliza mara nyingi kuhusu hizi huduma za kutuma pesa kwa simu na usalama wa pesa zako, nikagundua kuwa ukikosea namba tu ujue pesa si zako, hata mawakala wa mpesa,tigopesa na airtel money wanalijua hilo.
Ukiona umekosea fanya haraka kuwasiliana na watu wa huduma ya mteja muda huo huo, maana pesa ikishatolewa hairudi ila ikihamishwa kwenda account nyingine utaipata tu.
Kama vodacom wamekwambia kwamba pesa imeshatolewa labda usubiri kama ataweka ili wakuchukulie hakuna matumaini hapo, maana waswahili wengi salio la mpesa ni sifuri au ikizidi ni elfu moja,mbili au hata tano na kumi, na ni kwa matumizi ya papo hapo tu, maana unakuta mtu ameomba ya kununua kitu fulani. Kiufupi waswahili hawatunzi pesa nyingi kwenye line za simu.
 
msaada wenu wadau,jamaa kashaitoa na voda wanasema hawana jinsi ya kufanya labda mpaka jamaa aweke pesa kwenye akaunti yake ndio wataikata. polisi nao wamesema watafuatlia ni siku ya nne sasa! jamaa anapatkana ila hapokei simu na akipokea haongei.

Mtandao makini kwenye mambo ya pesa ni tigo peke yake tu, airtel mmmh. Afadhali ya voda
 
hiyo hela itarudi yote usiwe na wasi wasi ila cha msingi usiwe na haraka.mimi kuna mwanamke nilikuwa nampenda sana,akanidanganya kwa maneno yake then nikamrushia laki tano ilikuwa mida ya jioni siku hiyo,na siku hiyo akaniambia,beby kesho ntakuja kwako,na mimi nikamwambia naomba uwahi kuja ili ukaweze kuandaa chakula cha mchana.basi kesho yake nikakaa mpaka saa tano karibu ya mchana hajafika,nikaanza kumpigia simu na simu yake ikawa haipokelewi,nikaamua kumjulisha mfanyakaz mwenzangu,nikamwambia ebhana shemej yako simwelew anazingua kuja na simu hapokei.huku nikiwa naendelea kuongea na mfanyakaz mwenzangu,nikapigiwa simu na kuulizwa,wewe ni nani unaepiga simu ya mke wangu?kiukwel nilijisikia vibaya na jamaa yangu akanishaur niwapigie voda kuwaeleza,nikawaeleza na wakaifungia akaunt yake ya mpesa.nilikaa mda sana kama miez mitatu bila kuwapigia voda kama hela imeshaingia kwenye akaunti yake,na juz nikaamua kuwapigia wakaniambia kuna hela imeingia kwenye hiyo akaunt na wakanirudishia hela yangu yote.thanks god
 
hiyo hela itarudi yote usiwe na wasi wasi ila cha msingi usiwe na haraka.mimi kuna mwanamke nilikuwa nampenda sana,akanidanganya kwa maneno yake then nikamrushia laki tano ilikuwa mida ya jioni siku hiyo,na siku hiyo akaniambia,beby kesho ntakuja kwako,na mimi nikamwambia naomba uwahi kuja ili ukaweze kuandaa chakula cha mchana.basi kesho yake nikakaa mpaka saa tano karibu ya mchana hajafika,nikaanza kumpigia simu na simu yake ikawa haipokelewi,nikaamua kumjulisha mfanyakaz mwenzangu,nikamwambia ebhana shemej yako simwelew anazingua kuja na simu hapokei.huku nikiwa naendelea kuongea na mfanyakaz mwenzangu,nikapigiwa simu na kuulizwa,wewe ni nani unaepiga simu ya mke wangu?kiukwel nilijisikia vibaya na jamaa yangu akanishaur niwapigie voda kuwaeleza,nikawaeleza na wakaifungia akaunt yake ya mpesa.nilikaa mda sana kama miez mitatu bila kuwapigia voda kama hela imeshaingia kwenye akaunti yake,na juz nikaamua kuwapigia wakaniambia kuna hela imeingia kwenye hiyo akaunt na wakanirudishia hela yangu yote.thanks god

Sasa si inategemea kama bado hazijatolewa kwa wakala. Pesa inaweza kurejeshwa endapo itaamishwa kwenda akaunti nyingine ila sio kwenye hatua ya mwisho ya kuitoa kwa wakala, ndio maana vodacom wamemwambia kuwa pesa imeshatolewa na hakuna jinsi.
Kama aliyeitoa ni mtu mwenye fedha na anatumia akaunti yake ya mpesa kuweka na kutuma kiasi kikubwa cha pesa, ataipata tu, ila asikute huyo mtu ni mwanafunzi wa shule au jobless basi aisahau.
 
Voda nao waache udwanzi. Hela hiyo hata kama imetolewa, inaweza kurudi japo siyo leo. Na ili hela isirudi, basi huyo mtu asiitumie tena hiyo line, namaanisha abadili line. Ikiwa ataendelea kutumia hiyo line, basi voda watakachofanya ni kuset kwenye system yao kuwa huyu mtu anadaiwa. Akiweka hela yoyote kwenye account yake, inakatwa, mpaka amount itimie.
 
Sasa si inategemea kama bado hazijatolewa kwa wakala. Pesa inaweza kurejeshwa endapo itaamishwa kwenda akaunti nyingine ila sio kwenye hatua ya mwisho ya kuitoa kwa wakala, ndio maana vodacom wamemwambia kuwa pesa imeshatolewa na hakuna jinsi.
Kama aliyeitoa ni mtu mwenye fedha na anatumia akaunti yake ya mpesa kuweka na kutuma kiasi kikubwa cha pesa, ataipata tu, ila asikute huyo mtu ni mwanafunzi wa shule au jobless basi aisahau.

hata kama kaitoa,akiweka tu then wacall watakurudishia.cha msingi hapo mwenzako alikuwa anamaanisha usiwe na haraka sana ya kupata hiyo pesa,lakin akaunt ya huyo jamaa haitakuwa na uwezo wa kutoa pesa zaid ya kuingiza tu
 
hata kama kaitoa,akiweka tu then wacall watakurudishia.cha msingi hapo mwenzako alikuwa anamaanisha usiwe na haraka sana ya kupata hiyo pesa,lakin akaunt ya huyo jamaa haitakuwa na uwezo wa kutoa pesa zaid ya kuingiza tu

Akiacha kuitumia hiyo line na kutafuta mpya je?
 
Voda nao waache udwanzi. Hela hiyo hata kama imetolewa, inaweza kurudi japo siyo leo. Na ili hela isirudi, basi huyo mtu asiitumie tena hiyo line, namaanisha abadili line. Ikiwa ataendelea kutumia hiyo line, basi voda watakachofanya ni kuset kwenye system yao kuwa huyu mtu anadaiwa. Akiweka hela yoyote kwenye account yake, inakatwa, mpaka amount itimie.

Mtu unaweka elfu tano inakatwa au haifanyi chochote halafu uendelee tu kuweka pesa au kuing'ang'ania hiyo line tu!
 
Back
Top Bottom