Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

voda com wapo vizuri .siwatetei .ila huduma zao ninzuri.japokuwa upo wizi mdogo.ilaukiwafuata.kimakini hautaibiwa.mimi nipo voda com.sasa yapata miyaka kumi natano.bado sijaibiwa kwakiwango hicho.ilapale panapo kuwa.nashida zamawasiliano.kimtandao ndipo saliyo huenda kombo.tofauti yaotu,yawezekana usirudishiwe.fedha yako pale datazako hazito onekana kwa sababu zatofauti yamitambo ilakama mitambo inapo kuwa vizuri saliyo unarudishiwa data zako zikionekana.mimi nimeyahi kupoteza saliyo,ila nilipo ripoti.niliambiwa mitambo haijachukuwa data zangu hapo niliona kuwa kuna tatizo kimitambo,ilabaadae.walinipa saliyo.baada ya kuwaeleza kwakina huduma kwa wateja .voda com.:wink2:

Huu nao ni ugaidi
 
Hakuna huduma mbovu kama ya kununua umeme kupitia voda mpesa yaaani bora choo cha sokoni ni kisafi kuliko hii huduma.
Unanunua umeme saa 10 jioni wanakuletea token saa 6 usiku tena hapo umesha piga simu huduma kwa wateja mara 5 na vihudumu vyenyewe vya huduma kwa mteja ni vya hovyo kabisa sijui vimeokotwa wapi.
Mm kila siku napata shida ninapo nunua umeme lazima nipigishane kelele na hivi vibinti na vivulana.
Najiandaa kununua line ya tigo hivi nimechoka kusuguwana na vibinti.
 
Nimenunua kifurushi cha unlimited cha buku,kudownload hata robo ya movi keenye showbix haijatimia,aisee,vidacom ni washenzi sana ba huduma zenu mbovu sana
 
vodacom hamjali matatizo ya wateja, Mimi naishi Pugu kajiungeni kwa muda Wa mwezi mmoja sasa strength ya mnara huku mmebalilisha from 3G to 2G hii imefanya wenyevmoderm za vodacom kutopata access ya internet.Nimepiga Simu customer care wananiambia niende vodashop sikuwaelewa kwani badala ya wao kutatua tatizo wananiingiza kwenye gharama nyingine.am on the way to leave them.
 
Siku voda watarekebisha mb 8.ndio siku niawarudia ila kwa sasa line ya Vodacom ni kama recever tu

Airtel 1000 unapata mb 300 !!dkk 30.mitandao yote
 
Swali. Hizi wireless modem he zijawekewaje security ili MTU mwingine anaetimia wireless device asiniibie?

Hii yangu naina haina usalama wowote
 
hakna mtandao unaonikera kama voda ila natumia kwa sabab npo vjijin ambako cna marafk wanaotumia mitandao mingne voda nikiweka vocha ya 1ooo nikachelewa kujiunga na cheka ndan ya sekunde 5o wanakata mwisho utakuta imebak 7oo hapo sijajiunga na hudum yeyote ile nikiongea na huduma kwa wateja hakna ninachosaidiwa zaid ya kudanganywa
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania

Internet yenu haina uhakika,niko newala mtwara leo hii nimejiunga na bundle lakn hadi muda wake unaisha sijatumia hata bytes moja mtandao wenu kimeo na mlivyokuwa wababe hata hamturudishii gharama za usumbufu,mfano kutupa hata bundle ya ziada pale mnaporudi tena hewani hasa kwa upande huu wa internet
 
Nikimtumia mtu tafadhali nipigie, yeye anapokea ujumbe wa tafadhali nipigie ukiwa na namba tofauti na namba yangu. Mimi namba yangu ni 0765637XXX, je tatizo ni nini?
 
Nimelipa bill ya umeme jana, pesa imekatwa na sijapata namba za Luku? ! BO59YF571 na BO590U934.....nimepiga customer care hawana jibu. Tafadhali
 
Nimennua umeme leo siku ya 3 sijapewea units zangu. Nimeomba nirudishiwe pesa zangu wananijibu eti baada ya siku 7
 
Haya majanga. mimi nilinunua umeme tangu 30.04.2015 sikupata umeme. niliwapigia customer care majibu hayakuwa na utekelezaji. nikiwaambia warudishe pesa wanadai mpaka ipite wiki. majibu niliyokuwa napewa yanakera sana. mchana wa leo ndo nimerejeshewa pesa lakini imechinjwa
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania

ni zaidi ya mwezi sasa line yangu haitumi sms..customer care walishindwa kutatua tatizo.
 
Vodacom wanatuibia sana,
mara nyingi ukiweka salio ili ujiunge utakuta mtandao unakujibu kuwa salio lako halitoshi kujiunga na huduma hii. Mfano juzi na jana nikuwa nikiweka tsh 1100 ili kujiunga data bila kikomo ya 1000 sasa wanakuambia salio halitoshi, hata ukiongeza sh.1300 ili upate data ya 1000 bado unaambiwa salio halitoshi. Hadi uweke sh1400 au zaidi ndio utaunganishwa data ya 1000, cha ajabu hiyo 400 inayobaki hutaiona tena, huu si wizi jamani?
 
Back
Top Bottom