Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
voda com wapo vizuri .siwatetei .ila huduma zao ninzuri.japokuwa upo wizi mdogo.ilaukiwafuata.kimakini hautaibiwa.mimi nipo voda com.sasa yapata miyaka kumi natano.bado sijaibiwa kwakiwango hicho.ilapale panapo kuwa.nashida zamawasiliano.kimtandao ndipo saliyo huenda kombo.tofauti yaotu,yawezekana usirudishiwe.fedha yako pale datazako hazito onekana kwa sababu zatofauti yamitambo ilakama mitambo inapo kuwa vizuri saliyo unarudishiwa data zako zikionekana.mimi nimeyahi kupoteza saliyo,ila nilipo ripoti.niliambiwa mitambo haijachukuwa data zangu hapo niliona kuwa kuna tatizo kimitambo,ilabaadae.walinipa saliyo.baada ya kuwaeleza kwakina huduma kwa wateja .voda com.:wink2:
Huu nao ni ugaidi