Kusema ukweli Vodacom ni balaaa.....simu ya wenye pesa. Nimekuwa na Voda number muda mrefu nadhani ni mmoja wa watu wa kwanza kuingia voda siku ya kwanza kuanza hapa nchini na nimekuwa mwaminifu sana wa kampuni hii sina namba nyingine.
Hivi karibuni pesa zinaondoka kweli... tia elfu tano piga simu mbili ya tatu utasikiaa piiiiiii halafu calas, sijui ni ule ushuru au ni nini kama hii ni trick fulani nadhani hii ni balaaa
Kwa mara ya kwanza nimeingia kampuni nyingine (jina mezea sipo kutangaaza biashara ya mtu) ile ile elfu tano nimepiga simu kibao
Jamani voda ni balaa sijui ni rate zao au ni kamdudu fulani ka kula hela wamekitia. Naendeleza namba hii kwa muda tu kisha nahama kabisa wakati ndugu jamaa na marafiki wamepata namba yangu mpya
Hivi karibuni pesa zinaondoka kweli... tia elfu tano piga simu mbili ya tatu utasikiaa piiiiiii halafu calas, sijui ni ule ushuru au ni nini kama hii ni trick fulani nadhani hii ni balaaa
Kwa mara ya kwanza nimeingia kampuni nyingine (jina mezea sipo kutangaaza biashara ya mtu) ile ile elfu tano nimepiga simu kibao
Jamani voda ni balaa sijui ni rate zao au ni kamdudu fulani ka kula hela wamekitia. Naendeleza namba hii kwa muda tu kisha nahama kabisa wakati ndugu jamaa na marafiki wamepata namba yangu mpya