VodaCom Miss Tanzania 2009

Miss Tanzania wetu ndo huyu jamani
3.JPG



10_09_xatyzv.jpg


naona imekaa vizuri sana mdada ni mrembo na ana mvuto

mpangilio mzima wa miss TZkwa mie ulinivutia na hata wanamziki jipukizi mliowaweka it was fabolous

tunapenda vitu vipya
 
I knew she is gonna make it...Hivi lile gari kweli thamani yake ni 50Milioni?Kuna vitu vimeongezwa kukamilisha gharama...Lundega hayuko makini kwa kuleta gari chafu.
 
Umewadia wakati mwingine tena wa mpambano wa kumsaka mrembo atakayeipeperusha bendera ya nchi katika mashindano ya 60 ya dunia (Miss World) yanayotarajiwa kufanyika huko Vietnam mwakani mwezi wa saba.

Warembo wapatao 30 tayari wameshaingia kambini wakijiandaa na mchuano huo. shindano la Vodacom Miss Tanzania linaratibiwa na kamati ya Vodacom Miss Tanzania chini ya mkurugenzi Hashimu Lundenga.

Mpaka sasa Tanzania haijafanya vizuri katika mashindano ya kimataifa ingawa ndani ya nchi shindano limezidi kupata msisimko mkubwa. Hali ya hivi karibuni imeonyesha kumekuwa na mchuano mkali kati ya washindani wanaotoka mikoani na wale wanaotokea mikoa ya Dar.

Katika mshindano ya ngazi za mikoa tuliona washindani walioshindwa wakianguka majukwani na kupoteza fahamu, na pia shindano hili limekuwa likipata umaarufu kadri siku zinavyosogea mbele.


CONTESTANTS:


11.JPG

STELLA CHIDODO-SINGIDA

30.JPG

MARY JOSEPH- MARA

29.JPG

TORRY OSCAR-MOROGORO

28.JPG

CATHERINE LETARA-NYANDA ZA JUU KUSINI

27.JPG

GLORY WILLIAM-ILALA

25.JPG

EVELYN LUJAMASA-ILALA

24.JPG

BEATRICE LUKINDO-VYUO VYA ELIMU YA JUU

23.JPG

LULU IBRAHIM-KINONDONI

22.JPG

GLORIA MAYOWA-LINDI


21.JPG

MARIA DANIEL-ARUSHA


21a.JPG

PRECIOUS DONALD-PWANI

20.JPG

GLADIES SHAO-ILALA


19.JPG


ALOYCIA INNOCENT-KINONDONI

18.JPG

SUZAN EMMANUEL-ARUSHA




17.JPG

MARY LUCAS-NYANDA ZA JUU KUSINI


16.JPG

STELA SOMONI-TEMEKE

15.JPG

SIA NDASKOI-TEMEKE

14.JPG

SANDRA MALEBEKA-KINONDONI

13.JPG

DORIS DEODATUS-VYUO VYA ELIMU YA JUU

12.JPG

ESTER GAO- VYUO VYA ELIMU YA JUU

10.JPG

SABINA BUDODI-MARA

9.JPG

JULIETH WILLIAM -ILALA

8.JPG

IVONY BIGIRWA-KINONDONI

7.JPG

WAGALA SHUNGU-VYUO VYA ELIMU YA JUU

6.JPG

SHANY ANTONY-TEMEKE

5.JPG

JACQUELINE NITWA-DODOMA

3.JPG

MIRIAM GERALD-MWANZA

2.JPG

SLYVIA SHALLY-ILALA

1.JPG

GLORY CHUWA-TANGA

26.JPG


WITNESS NESPHORY-NYANDA ZA JUU KUZINI (AMETOLEWA KWA KUBAINIKA NI MJAMZITO).



Miss Tanzania 2009 Finals, October 2

Vodacom Miss Tanzania 2009 pageant final is to be held on Friday 2 October 2009 at Mlimani City, Dar es Salaam. That was said in Dar es Salaam yesterday by Miss Tanzania Director, Hashimu Lundenga.

Lundenga said that the preparation is in progress after the process of completing competition for almost six months starting from first stages, municipals, regions and zones. “We are aimed at holding this pageant for high quality ever in the history of this country especially those ones held in in-door halls” said Lundenga.

He said that they have decided to hold it in-door halls because of the weather change which is expected to start anytime. He added that various and prominent musicians in the Tanzanian market and outside are expected to entertain on the show.

Vodacom Miss Tanzania 2009 is sponsored by Vodacom Tanzania Limited, Samsung Electronic Company Limited, Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) ,New Habari (2006) LTD, Tanzanite One Group and Giraffe Oceanic View Hotel.

30 contestants from different zones are expected to contest this year on Miss Tanzania 2009. The contestants are expected to start camping on September 7 at Giraffe View Oceanic Hotel.

The current Miss Tanzania title holder is Nasreem Karim Ndiye.


Wallah bongo mademu wamkwisha. Hakuna hata mmoja hapo anayefaa kutuwakilisha kimataifa. wote ni wabovu.
Achilia mbalia kutuwakilisha hata kuwa miss TZ
 
Wakuu,
Kwa mujibu wa profile ya huyu malkia mpya Bi. Miriam ni mwajiriwa wa Vodacom.
Kwa mfanyakazi wa Vodacom kushiriki kwenye mashindano ambayo mdhamini mkuu ni Vodacom na kuondoka na Taji (au hata kama asingeshinda) hii imekaa vipi,sababu naona kama kuna kama kutakuwa na kahisia ka kainfluence fulani hapa au ni mimi sielewi.. nielimisheni hapa...
 
Last edited:
I knew she is gonna make it...Hivi lile gari kweli thamani yake ni 50Milioni?Kuna vitu vimeongezwa kukamilisha gharama...Lundega hayuko makini kwa kuleta gari chafu.

Lile gari; Suzuki Grand Vitara anayopewa mshindi mbona linaonekana kama used; kama ni hivyo hiyo thamani wanayoitangaza inatoka wapi? Kumbukeni kati ya hao wafadhili ni Fisadi Papa Tanil Somaiya!!
 
ningekuwa judge ningempa umiss WAGALA SHUNGU
 

Attachments

  • lol.JPG
    lol.JPG
    19.9 KB · Views: 57
mdada yuko safi kiurembo,
elimu yake form six....
hivi kweli mtu kama huyo anaweza kuzikabili challenge za kiulimwengu huko miss world?
akiulizwa maswali professional kweli ataweza kung`amua?
au miss world elimu sio kigezo?
kuuliza sio ..........plz
 
mbona unashangaa ndo mabinti zetu hao na ndo warembo wetu :)
__________________
tatake radhi mama hao ni mabinti za lundenga;labda ingia ndani zaidi utajua washindi wanaokuja miss tanzania wanapatikanaje mama...wale wote wenyekushindwa vigezo maalum hakuna anaekanya ga hata mshindi wa pili.......narudia tea hao ni mabinti wa lundenga na ma predeshe wake...labda cha kusikitisha wakiwa wanaingia hapo mshindi wa kwanza mpaka wa tano anajulikana wanachokuja fanya ni kutimiliza wajibu
 
Yaaah nimeshuhudia lile shindano toka mwanzo hadi mwisho............nakubaliana na waliowengi hapo juu.....vimwana hakuna kwa kweli, huyu Miriam yes yupo Fresh but naona weight ni kubwa kodogo...kanenepa...u can see it easily, pili hajui kujieleza kabisa huyu mdada...sasa sijui na huko Sauzi atasema ''Lugha ya taifa tafadhali'' au itakuwaje......hata kiswahili hakujieleza vizuri!

Glory William wa Ilala angekuwa na mvuto kidogo, huyu anajua sana kujieleza tena kwa ung'eng'e...alijibu swali kwa ufasaha sana........!

But again hakuna walimbwende TZ wakulu........!
 
Miss Tanzania wetu ndo huyu jamani
3.JPG



10_09_xatyzv.jpg


naona imekaa vizuri sana mdada ni mrembo na ana mvuto

mpangilio mzima wa miss TZkwa mie ulinivutia na hata wanamziki jipukizi mliowaweka it was fabolous

tunapenda vitu vipya

Mi nadhani anafaa na ajitahidi kutuwakilisha vyema.
 
vyovyote iwavyo mimi nadhani watanzania tum-support ili aweze kufanya vyema. Tatizo la watanzania ni ku-critisize kila kitu bila kutoa way forward, ninyi mmeona semenya wasauzi walijua kuwa ni dume-jike lakini alilakiwa kama mfalme. Watanzania hii tabia ya kulalama tu bila kutoa solutions inatutafuna.

Shutuma zangu hasa nazielekeza kwa watanzania ambao labda wako nje ya Tanzania ki masomo au kikazi, wao kila kitu ni ku-laumu tu mambo yanayoendelea hapa nchini lakini ukiwauliza leteni suggestions ambazo zita work hapa bongo, hakuna anayezungumza, utasikia tu mabinti wa bongo hovyo bora wa mamtoni, lakini ninyi mnaopenda vya mamtoni kumbukeni mlikuwa hapa mnakula vumbi hadi mkapata bahati ya kwenda huko mliko.

wakati mkiwa hapa nanyi yaliwashinda, mfano hii issue ya miss world ningetegemea tupate hata sample ya maswali yanayoulizwa huko miss world ili tumuandae binti yetu sasa badala yake ni kulalamika tu oh... tanzania hatuna warembo!!! kwani urembo ni nini? ni uzungu au??
 
Back
Top Bottom