VodaCom Miss Tanzania 2009

vyovyote iwavyo mimi nadhani watanzania tum-support ili aweze kufanya vyema. Tatizo la watanzania ni ku-critisize kila kitu bila kutoa way forward, ninyi mmeona semenya wasauzi walijua kuwa ni dume-jike lakini alilakiwa kama mfalme. Watanzania hii tabia ya kulalama tu bila kutoa solutions inatutafuna.

Shutuma zangu hasa nazielekeza kwa watanzania ambao labda wako nje ya Tanzania ki masomo au kikazi, wao kila kitu ni ku-laumu tu mambo yanayoendelea hapa nchini lakini ukiwauliza leteni suggestions ambazo zita work hapa bongo, hakuna anayezungumza, utasikia tu mabinti wa bongo hovyo bora wa mamtoni, lakini ninyi mnaopenda vya mamtoni kumbukeni mlikuwa hapa mnakula vumbi hadi mkapata bahati ya kwenda huko mliko.

wakati mkiwa hapa nanyi yaliwashinda, mfano hii issue ya miss world ningetegemea tupate hata sample ya maswali yanayoulizwa huko miss world ili tumuandae binti yetu sasa badala yake ni kulalamika tu oh... tanzania hatuna warembo!!! kwani urembo ni nini? ni uzungu au??


Mkuu wacha kulalama sana..Kizuri kipo machoni na rohoni mwako..! Bongo mabinti wametulia, wazuri dada zetu..Nadhani wazungu wanatushinda kwa Elimu na jinsi ya kujieleza...Japo kweli wapo watoto wa Kizungu wazuri ...!!
 
Last edited:
Huyu alipendeza na hata kujibu maswali yake alikuwa na 'konfidensi' kuliko wenzake.

Kudos Miriam!

misstz%2B%2823%29.JPG
 
hivi bongo swala la 'CONFLICT OF INTRESTS' does not exist? mbona huyu miss nasikia anafanya kazi vodacom
 
Mwaka jana nilisema hivi:

Samahani sikuwataja.

Kwa muono wangu, wasichana wanaoweza kusonga mbele zaidi kulingana na wanavyoonekana kwenye picha zao ni hawa wafuatao:

1217170917_resize_of_florence_josephat.jpg

Florence Josephat

1217170410_resize_of_cecilia_george.jpg

Cecilia George

1217168115_resize_of_nasreem_karim.jpg

Nasreem Karim

1217168115_resize_of_regina_julius_1.jpg

Regina Julius


Wafuatao nao wapo karibu karibu lakini huenda hawakupozi vizuri wakati wa kupiga picha hizi:'

1217170024_pendo_laizer.jpg

Pendo Laizer (Backgorund yake siyo nzuri)

1217168115_resize_of_mariam_hajibu.jpg

Mariam Hajibu (Hakuonyesha tabasamu)

1217170917_resize_of_johari_abubakar.jpg

Johari Abubakar (Tabasamu lake limekaa vibaya)


Ushindi ukaenda kwa Nasreem Karim



Mwaka huu nimesema hivi:
Kama picha hizi hazinidanganyi: Mgomange ni kwa hawa wafuatao:

IVONY BIGIRWA-KINONDONI
MIRIAM GERALD-MWANZA
SABINA BUDODI-MARA
SANDRA MALEBEKA-KINONDONI
SIA NDASKOI-TEMEKE
STELLA CHIDODO-SINGIDA
MARY JOSEPH- MARA




Ushindi umekwenda kwa MIRIAM GERALD


Inaelekea nina uwezo wa kumpiku Sheikh Yahya katika masuala haya.
 
Don't even waste money sending her to the competition. Unless there is a miracle between now and then she is not gonna win anything. Lets get real, at the end of the day this is still a beauty contestand this chick is way below the standard that you usually get at this competition
 
Don't even waste money sending her to the competition. Unless there is a miracle between now and then she is not gonna win anything. Lets get real, at the end of the day this is still a beauty contestand this chick is way below the standard that you usually get at this competition
Umemaliza yote mkuu! Mengine ni blahblah, but the esence is in your quote above. Appreciate your honesty!
 
niko tayari kurekebishwa but ninavyofahamu mimi...
kuwa na mwanya ni disadvantage kwenye mashindano ya miss world...
sasa huyu mbona ana mwanya??????????
 
rubbish...mambo yote haya ni kutupotezea muda WAAFRIKA..waacheni WAZUNGU na mambo ya urembo, walianzisha sababu asilimia kubwa ya WANAWAKE wa kizungu ni WABAYAAAAAA.....kama unabisha wachukue kama watano randomly, wapange na wa-KIAFRIKA..ndio maana ULAYA na MAREKANI mwanamke akiwa mzuri ni tiketi ya maisha bora tayari........by the way, hivi kati ya mwanamke wa KIZUNGU na KIAFRIKA, yupi akipita na kichupi mbele ya MWANAUME rijali SURUALI ITASUMBUA...........
 
niko tayari kurekebishwa but ninavyofahamu mimi...
kuwa na mwanya ni disadvantage kwenye mashindano ya miss world...
sasa huyu mbona ana mwanya??????????


Sure...Kwao mwanya ni kama kilema...kwatu ni deal...so kwa nchi yetu yuko sawa..international wise hapana...Labda kwa sababu inafanyikia africa.Hivi Yule bouncer mwenye suti nyeusi alikuwa anamlinda nani?
 
Don't even waste money sending her to the competition. Unless there is a miracle between now and then she is not gonna win anything. Lets get real, at the end of the day this is still a beauty contestand this chick is way below the standard that you usually get at this competition

Mkuu,

Unaweza ukatueleza 'those standards that you usually get at this competition' na huyu mshindi wetu yupo way below the standard kivipi, yaani anakosa vigezo vipi
 
rubbish...mambo yote haya ni kutupotezea muda WAAFRIKA..waacheni WAZUNGU na mambo ya urembo, walianzisha sababu asilimia kubwa ya WANAWAKE wa kizungu ni WABAYAAAAAA.....kama unabisha wachukue kama watano randomly, wapange na wa-KIAFRIKA..ndio maana ULAYA na MAREKANI mwanamke akiwa mzuri ni tiketi ya maisha bora tayari........by the way, hivi kati ya mwanamke wa KIZUNGU na KIAFRIKA, yupi akipita na kichupi mbele ya MWANAUME rijali SURUALI ITASUMBUA...........


,,,,,Baba!!, dada zetu wakipiga BIKINIS wallah inakua kidhungudhungu,hivi wajameni huwa hakuna beach hapo bongo wadadaa zetu wanaogeleagagagaga na hizo naniliuu za kibikinis???,,niambie nikajionee,najua NTAKULA japo kwa macho.
 
Don't even waste money sending her to the competition. Unless there is a miracle between now and then she is not gonna win anything. Lets get real, at the end of the day this is still a beauty contestand this chick is way below the standard that you usually get at this competition

Wakuu hii post iliwekwa hapa siku karibu Ishirini kabla ya mashindano, lakini hakukuwa hata na mtu mmoja wa kuchangia, Mimi naamini kama tungekuwa makini tungeweza kutoa mchango wetu kwa kutoa maoni yetu kadri maandalizi yalivyokuwa yanaenda, sasa tulikaa kimya kama hatufagilii hizi bizinez, sasa mambo yameisha tunaanza kusema hapo hakuna kitu, hii lazima tujilaumu kuwa hata sisi tumechemsha.
 
Don't even waste money sending her to the competition. Unless there is a miracle between now and then she is not gonna win anything. Lets get real, at the end of the day this is still a beauty contestand this chick is way below the standard that you usually get at this competition

Strange
hivi Mkuu huvutiki hata kidogo? Tehetehe kwikwikwi
seems you are conservative and Pessimist
 
Wakuu,
Kwa mujibu wa profile ya huyu malkia mpya Bi. Miriam ni mwajiriwa wa Vodacom.
Kwa mfanyakazi wa Vodacom kushiriki kwenye mashindano ambayo mdhamini mkuu ni Vodacom na kuondoka na Taji (au hata kama asingeshinda) hii imekaa vipi,sababu naona kama kuna kama kutakuwa na kahisia ka kainfluence fulani hapa au ni mimi sielewi.. nielimisheni hapa...


lakini majaji hawakuwa Vodacom walikuwa ni watu kutoka sekta mbalimbali
 
jamani lakini hata mie nashindwa kuamini mbona ile gari kama haifananiii na 50Million
 
lakini majaji hawakuwa Vodacom walikuwa ni watu kutoka sekta mbalimbali

Shost stuka, majaji hawajatoka vodacom lakini wamelipwa na vodacom ili kumchagua mfanyakazi wa vodacom awe miss vodacom. Mbona imekaa straight hiyo? Haina haja ya kuzungukazunguka. Wizi mtupu!
 
Back
Top Bottom