Tongue blister
JF-Expert Member
- Jun 19, 2009
- 362
- 11
vyovyote iwavyo mimi nadhani watanzania tum-support ili aweze kufanya vyema. Tatizo la watanzania ni ku-critisize kila kitu bila kutoa way forward, ninyi mmeona semenya wasauzi walijua kuwa ni dume-jike lakini alilakiwa kama mfalme. Watanzania hii tabia ya kulalama tu bila kutoa solutions inatutafuna.
Shutuma zangu hasa nazielekeza kwa watanzania ambao labda wako nje ya Tanzania ki masomo au kikazi, wao kila kitu ni ku-laumu tu mambo yanayoendelea hapa nchini lakini ukiwauliza leteni suggestions ambazo zita work hapa bongo, hakuna anayezungumza, utasikia tu mabinti wa bongo hovyo bora wa mamtoni, lakini ninyi mnaopenda vya mamtoni kumbukeni mlikuwa hapa mnakula vumbi hadi mkapata bahati ya kwenda huko mliko.
wakati mkiwa hapa nanyi yaliwashinda, mfano hii issue ya miss world ningetegemea tupate hata sample ya maswali yanayoulizwa huko miss world ili tumuandae binti yetu sasa badala yake ni kulalamika tu oh... tanzania hatuna warembo!!! kwani urembo ni nini? ni uzungu au??
Mkuu wacha kulalama sana..Kizuri kipo machoni na rohoni mwako..! Bongo mabinti wametulia, wazuri dada zetu..Nadhani wazungu wanatushinda kwa Elimu na jinsi ya kujieleza...Japo kweli wapo watoto wa Kizungu wazuri ...!!
Last edited: