Too late!
Airtel walishapiga hodi kwa Babu siku nyingi. Vodacom wamekazania kuwinda viongozi na kupiga picha nao mara Kikwete, mara Museven mara sijui nani. Lakini wanasahu kazi yao kubwa ni kuhakikisha wateja wao wanapata huduma za uhakika na sio kuona picha za wafanyakazi wakikenua meno na wanasiasa. too much bling bling vodacom, tulieni!
Too late!
Airtel walishapiga hodi kwa Babu siku nyingi.
Kutangulia siyo kufika mkuu Kwani YAI na KUKU kilitangulia kipi?
Nadhani tutegemee kuviona vikaragosi vimeshika vikombe vikinywa dawa kwa babu.Si unajua tena vodacom na advtz siku hizi wamekuja na mfumo mpya wa vikaragosi.Inaelekea tangazo lao litaonesha vikaragosi kwenye bajaji(bajaza) ikispeed kuelekea samunge loliondo teh,teeeeh!!