Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Hivi Voda kwanini msiwe kama Airtel Timiza tu? Hayo mambo mtu kafulia anakopa mnataka kukata riba kabisa ndio uduanzi gani?😫😫😫😫
Mnajua kufulia nyie hata mia mtu hana halafu sijui akatwe riba? Upuuzi mtupu!
Mnajua kufulia nyie hata mia mtu hana halafu sijui akatwe riba? Upuuzi mtupu!