VODA bado kabisa - haijarudi kisawasawa

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
Pamoja na kutangaziwa juzi kuwa mtambo wa Voda tayari umerekebishwa lakini hali haijarudi sawasa. Mara nyingine call hazipatikani, MSM zachelewa kuwa transmitted na hata kuuliza salio inakuwa vigumu. Kulikoni?
 
Back
Top Bottom