Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Pamoja na kutangaziwa juzi kuwa mtambo wa Voda tayari umerekebishwa lakini hali haijarudi sawasa. Mara nyingine call hazipatikani, MSM zachelewa kuwa transmitted na hata kuuliza salio inakuwa vigumu. Kulikoni?