The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,843
- 3,259
Uzuli Ukraine nao sio wazembe San ona vijan wa putin na ndege aina K52 hapoView attachment 2129933Mwamba mmoja anatishia dunia watu wametulia tuliii nawakubali San watu wa namna hii
Uzuli Ukraine nao sio wazembe San ona vijan wa putin na ndege aina K52 hapoView attachment 2129933Mwamba mmoja anatishia dunia watu wametulia tuliii nawakubali San watu wa namna hii
Mimi hapa.nime kulitea na picha za vijan wa putin View attachment 2129935Hii ngoma bado mbichi kabisa ngoja Pro-America waje kutoa ufafanuzi zaidi
Naona vijana wao ndo wameanza kuji salimisha.Vita sio mchezo zile javelin za Marekan zimeanza kazi hukoRussia imewataka wanajeshi wa Ukraine wajisalimishe au waweke silaha zao chini warudi nyumbani.
Huku hayo yakiendelea kumesikika milipuko sehemu mbalimbali nchini Ukraine huku wanajeshi wengi wa Urusi wakitokea kila upande kuizunguka Ukraine. Wengine wanatokea nchi jirani ya Belarus kuelekea miji mingine ya Ukraine.
Uwanja wa kijeshi wa ndege mji mkuu Kiev umeshambuliwa, pia watu 7 wamekufa na wengine wengi hawajulikani walipo.
Urusi imesema inalenga maeneo ya kijeshi nchini Ukraine kwa kutumia silaha za kulenga shabaha za hali ya juu.
View attachment 2129602View attachment 2129601View attachment 2129604View attachment 2129605
Vita sio mchezo zile javelin za Marekan zimeanza kazi hukoView attachment 2129942Wengi waschofaham ni kua kuna team kubwa inafanya analysis,wanacalculate risk,wanafanya assessment alaf wanakuja na paper ya karatas za kutosha kumshauri mheshmiwa nini kinafaida kwao kama taifa wafanye..
Kw hili haihitaji ata akili nyingi kujua team yake imemshauri nini,
Vita ziko mbili apo
Kuna vita ya mabomu na makombora na vita ya economy,
Hii ya economy iko mkononi kwake kabisa usa akichanga karata zake anashinda vizuri tu..
Mpaka mrusi amalizane na ukraine atakua katengeneza pesa nyingi sana mmarekani.
Porojo hiziVita sio mchezo zile javelin za Marekan zimeanza kazi hukoView attachment 2129942View attachment 2129943
Front kuimaisha USSR.Front wapi? Marekani au kwa mdogo wake ukrain ambaye ni jirani yake? Warussia kumbukeni hapa mmarekani hapigani, anaongea tu.
Sawa. Embu angalia Aljazeera live UK prime minister anaongea halafu utajua hakunaga kuimarisha nchi kwa kupigana vita.Front kuimaisha USSR.
Sasa mkuu utajaza mapicha woteUzuli Ukraine nao sio wazembe San ona vijan wa putin na ndege aina K52 hapoView attachment 2129933View attachment 2129934
Unabchukuliaje we p¢¥^£ngaPorojo hizi
akili za Facebook hizi
Vijana wa putinView attachment 2130119Sasa mkuu utajaza mapicha woteView attachment 2129996View attachment 2129997
NATO walipopiga Belgrade ilikuwa karne ipi kwani.Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Hawa nao wanatafuta sababu, ipi hasa ya bei ya mafuta kupanda duniani!?Bei ya mafuta ishapanda duniani, tutegemee mwezi ujao yawe Tshs 2800
Unajua mzozo huo unasababishwa na USA kwa sababu USA hana base ukanda huo na anataka aweke mitambo yake hapo Ukraine ili amchunguze Russia akasema aitwezekanaPutin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!
Mwamba mmoja anatishia dunia watu wametulia tuliii nawakubali San watu wa namna hii
Sasa Ukraine sini taifa huru lina haki yakuamua mambo yke! Au Ukraine ni jimbo la Russia?Putin hataki Ukraine ijiunge NATO maana anahatarisha usalama wake..NATO wanaitaka Ukraine ili waizunguke Urusi na Urusi hawezi kuiubali hilo kamwe.
Kazi ipo kwa Ukraine aamue yeye
Na kama USA, kungekuwa na mtu mwenye akili kama hizo, sasa hivi dunia ingeingia WW3!!lakini watampuuza tu, na kumminya kisayansi!!Putin sio mzima kichwani - kama alivyokuwa Hitler. Itadhihirika muda sio mrefu.
Katika karne ya 21 kiongozi wa taifa kubwa kama Urusi hawezi kufanya uamuzi wa kipumbavu kiasi hicho usiokuwa na manufaa yeyote kwa taifa lake.
He’s gone completely nuts. Bado ana medieval mind set ya akina Alexander the Great na Gengis Khan!